CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
hizi historia tumechoka kuzisoma Sasa tunataka mjipange msimu ujao mchukue kombe
HAO wanaojiita MABINGWA wa kihistoria wakikosa makombe????..
Mpira wa TANZANIA una UTOTO MWINGI sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi historia tumechoka kuzisoma Sasa tunataka mjipange msimu ujao mchukue kombe
Mavi ya kale fcKwahyo.nyie ile historia yenu ni makumbusho fc pia
Mbona Tunaambiwa Al-ahly wamechuka kombe la Afrika mara 5, kwahiyo tuondoe historia yao ya nyuma tusema hawajachukua mara 5 kisha ni miaka ya zamani?Mambo ya mwaka 1974 tunayaongea leo, kweli? Mna stress sana
Hapa tumemaliza ubishi!
Wenzako wanaweka na majedwali! Sasa wewe unakuja na maneno tu.
Majedwali Fc! 😁
Kyajhe gwalipo,🏋️Mtaokiteza taarifa zote Ili yanga waonekane hawajafikia mafanikio yenu lakini ukweli ni kuwa Simba wametoka. Taarifa hizo kwanini miaka mingi hazisemwi? Hata mwaka huu mbona Simba wakati anasonga mbele hazikutoka na zimetoka wakati Simba walipotolewa?
Tuipe heshima yanga Kwa kutinga hatua ya nusu fainali
Uongo upi?Sasa kwanini mnasema uwongo kama ndio hivyo?
Sasa kwanini mnasema hakuna timu ya Tz iliyowahi kufika hatua ya nusu fainali mashindano yanayoqndaliwa na CAF wakati wapo watu walifika tena klabu bingwa?Jamaa kiukweli hilo la 1974 linakukereketa mno wakati wala hatujalibishia.
Wapeni wananchi maua yao, nyie mlipewa yenu huo mwaka 74.
Sasa sijui mnataka mpewe hongera, sijui mnakumbusha yaani haieleweki lengo la roborobo fc ni nini hasa.
Kwamba hakuna timu kabla ya Yanga iliyowahi kufika nusu fainali mashindano ya CAF?Uongo upi?
We jamaa unatafuta wa kubishana nao, umechangia nyuzi umeona haitoshi ukaanzisha wako.Sasa kwanini mnasema hakuna timu ya Tz iliyowahi kufika hatua ya nusu fainali mashindano yanayoqndaliwa na CAF wakati wapo watu walifika tena klabu bingwa?
Wanamaanisha nusu ya mfumo huu uliopo.Sasa kwanini mnasema hakuna timu ya Tz iliyowahi kufika hatua ya nusu fainali mashindano yanayoqndaliwa na CAF wakati wapo watu walifika tena klabu bingwa?
Sasa si ujibu hoja?We jamaa unatafuta wa kubishana nao, umechangia nyuzi umeona haitoshi ukaanzisha wako.
Hii inadhihirisha ni jinsi gani mafanikio ya yanga yanakuumiza si mchezo.
Subiri tuchukue kombe ukufe kabisa.
Hoja gani uliyoleta hapo??Sasa si ujibu hoja?
Sasa kwanini kwenye rekodi wanasema Al-ahly imechukua kombe mara 5 huku wakijumuisha makonbe ya miaka ya 70 pia?Wanamaanisha nusu ya mfumo huu uliopo.
Nusu fainali ya 1974 tofauti sana na hii ya mfumo huu wa sasa.
Ya mwaka 1974 timu inacheza mechi nne tu tayari ROBO, mechi 6 tayari NUSU. Unaweza kuwa bingwa bila ya kushinda hata mechi moja ndani ya dakika 90 au 120.
Mfumo wa sasa huwezi kuchukua kombe la robo fainali bila kushinda ndani ya dakika 90 lazima uwaue kiume wenzako hapo kwenye makundi.