Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Andika kiswahili wewe, westing of the money ndo nini ?Na makonda anapenda sana ,mambo ya misafara huyu jamaa ,hamkuona alivyokuwa mkuu wa mkoa,misafara kibaaao na ulinzi,ili hali watu hakuna mwenye time nae,anapenda saana misafara mikubwa,westing of the money,westing of the money
😂😂😂😂😂Andika kiswahili wewe, westing of the money ndo nini ?
Ungekaa kimya usingeoyeshe UPUMBAVU wako kwa watuJamani tuwe na mijadala ya kueleweka, kwa nafasi aliyo nayo Bashite ni sahihi kuwa na huo msafara, Wala si jambo la kushangaza. CCM ni Chama tawala, hakuna jipya hapo.
Mkuu issue ni msafara au uwezo wa Chama chake kudhamini msafara??Jamani tuwe na mijadala ya kueleweka, kwa nafasi aliyo nayo Bashite ni sahihi kuwa na huo msafara, Wala si jambo la kushangaza. CCM ni Chama tawala, hakuna jipya hapo.
Wizo unalo unipakize 😜
Ndio wasukuma wengi walivyo.Na makonda anapenda sana ,mambo ya misafara huyu jamaa ,hamkuona alivyokuwa mkuu wa mkoa,misafara kibaaao na ulinzi,ili hali watu hakuna mwenye time nae,anapenda saana misafara mikubwa,westing of the money,westing of the money
Watengeneza magari walitoa specifications za barabara kwamba gari hizi zipite kule na hizi barabara hizi?.Duh aiseee barabara na magari husika haviendani kabisa
Watengeneza magari walitoa specifications za barabara kwamba gati hizi zipite kule na hizi barabara hizi?.
Maana yake hela zimepelekwa magharibiAndika kiswahili wewe, westing of the money ndo nini ?
Hao wasukuma unawazidi nini na ujanja wako! Kuwa mpole bhana acha shobo!Ndio wasukuma wengi walivyo.
Anataka tension kwa kila mtu.
Ushamba mzigo.
MKWEPA KODI njoo hukusafi sana, kwepa kodi kadiri unavyoweza
Asante sana umemalizasafi sana, kwepa kodi kadiri unavyoweza
Nakubaliana na wewe. Nimeona ckip Makonda anaongea na wananchi. Kuna malalamiko mengi ya watu kupotelewa na watoto, ndugu au wenza kwa kutekwa. Polisi hawana msaada, rais hana msaada, Makonda anatumia masaibu yao kuwaambie 2025 wamchague tena Samia ambaye ameshindwa kuwasaidia, yaani kama ulivyosema hii nchi ukijifanya una akili timamu unaweza kufa kwa kihoro. Wananchi wamechanganyikiwa wanakimbilia kwa ''manabii'' ili wawaombee kupata kazi, daaaa. Kwa ujumla wengi hawaoni correlation kati ya maisha yao na viongozi.Nchi hii ili kuepuka stress.
Moja, Jizime Data au..
Pili, Usitarajie ikafanyie lolote zuri.
Just Fight for the best, Expect for the worst. Unachotakiwa uwe na uhakika nacho ni disappointments tuu, by then hautakua surprised na lolote.
Otherwise utake actions.
Kuna member mmoja aliwahi kusema ukifuatilia siasa na mambo ya Tanzania halafu ukaendelea kuwa comfortable bila ya stress unaweza kuishi jehanamu bila shida yoyote.Nchi hii ili kuepuka stress.
Moja, Jizime Data au..
Pili, Usitarajie ikafanyie lolote zuri.
Just Fight for the best, Expect for the worst. Unachotakiwa uwe na uhakika nacho ni disappointments tuu, by then hautakua surprised na lolote.
Otherwise utake actions.
eehee Kwan wanasema tatizo liko upande gan au ni gubu tu 🐒Tumekuwa tukiona Mhe. Paul Makonda akiingia na Toroli, Bulldozer, Baiskeli n.k kwenye ziara zake mikoa tofauti nchini.
Je ulishawahi kujiuliza ni jinsi gani msafara wa magari wa Makonda unavyoonekana akiwa anaelekea kwenye ziara zake huko mikoani.?
Hapa nimekuletea picha tofauti za muonekano wa magari ya msafara wa Paul Makonda.
View attachment 2887296
View attachment 2887297
View attachment 2887298
View attachment 2887299
View attachment 2887300
View attachment 2887301
📸 WasafiMedia
Written by Mjanja M1