Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
100%☑️haya yote samia ameyabariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%☑️haya yote samia ameyabariki
Impetus= force or pressure, forceful and to smear is like siasa za maji taka ie destruction of someone reputation, kwahiyo CCM wamemchagua huyo asafishe njia kuelekea uchaguzi mkuu next yearBashite is such an imposing figure with a fresh impetus for a modernized smear campaign.
When it comes to gutter politics and political subversion, he's CCM's most stood-out and decorated storm trooper.
Magari ya bei mbaya tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Mama anazidi kujiharibia.haya yote samia ameyabariki
Makonda ni Zerobrain yaani hana kitu kichwani. Anaweza kutumika kwenye vurugu tu kwa vile hajali kutukana, kupiga au kuua. Na yuko tayari kumtumikia yeyote yule kwa vitendo viovu alimradi apate cheo au fedhaWadau wa UCHUMI wa KATI ambao NCHI yetu imo ninaomba kufahamishwa KIUCHUMI Umuhimu wa MISAFARA ya Bw.MAKONDA kuwa na idadi kubwa ya MAGARI zaidi ya 30.Je UMUHIMU wa kuwa na MAGARI mengi ktk Misafara ina faida gani kwa WANANCHI MASIKINI wa NCHI hii Wanaohangaika na MLO mmoja wa SIKU?
Je Bw.MAKONDA angetumia Magari 10 Asingefanikisha huo UENEZI wake?
Hebu VIONGOZI WETU kuweni WAZALENDO kwa MALI ZA UMMA waoneeni HURUMA wananchi wanaohangaika kuzitafuta KODI ambazo badala ya KUWALETEA MAENDELEO zinawaletea UFUJAJI wa KODI zao kwa KINA MAKONDA na WENZAKE kusafiri kama WAFALME kwa KUSINDIKIZWA na MAGARI 30
CCM mnatukosea sana WANANCHI Masikini wa NCHI HII.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app