Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo yako yanaendana na hii piacha..Nchi hii ili kuepuka stress.
Moja, Jizime Data au..
Pili, Usitarajie ikafanyie lolote zuri.
Just Fight for the best, Expect for the worst. Unachotakiwa uwe na uhakika nacho ni disappointments tuu, by then hautakua surprised na lolote.
Otherwise utake actions.
Njoo uwe karibu nami ujue baadhi yao nawazidi nini?Hao wasukuma unawazidi nini na ujanja wako! Kuwa mpole bhana acha shobo!
Even haters are in shadow not to come to light come if you debate be a manBashite is such an imposing figure with a fresh impetus for a modernized smear campaign.
When it comes to gutter politics and political subversion, he's CCM's most stood-out and decorated storm trooper.
Achaa kubana,hao CCM wakizunguka kila Mkoa na pesa ndiyo inazunguka hapo Mkowani hadi inaenda chini kwa Wananchi!!Wadau wa UCHUMI wa KATI ambao NCHI yetu imo ninaomba kufahamishwa KIUCHUMI Umuhimu wa MISAFARA ya Bw.MAKONDA kuwa na idadi kubwa ya MAGARI zaidi ya 30.Je UMUHIMU wa kuwa na MAGARI mengi ktk Misafara ina faida gani kwa WANANCHI MASIKINI wa NCHI hii Wanaohangaika na MLO mmoja wa SIKU?
Je Bw.MAKONDA angetumia Magari 10 Asingefanikisha huo UENEZI wake?
Hebu VIONGOZI WETU kuweni WAZALENDO kwa MALI ZA UMMA waoneeni HURUMA wananchi wanaohangaika kuzitafuta KODI ambazo badala ya KUWALETEA MAENDELEO zinawaletea UFUJAJI wa KODI zao kwa KINA MAKONDA na WENZAKE kusafiri kama WAFALME kwa KUSINDIKIZWA na MAGARI 30
CCM mnatukosea sana WANANCHI Masikini wa NCHI HII.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Ndio tabu ya kuandika kiingereza uonekane unakijua huku hukijui.Ahsante kwa kumshauri aandike kiswahili.Andika kiswahili wewe, westing of the money ndo nini ?
Na wewe uko ofisi ya uenezi? Mnatangaza chama chenu.Tumekuwa tukiona Mhe. Paul Makonda akiingia na Toroli, Bulldozer, Baiskeli n.k kwenye ziara zake mikoa tofauti nchini.
Je ulishawahi kujiuliza ni jinsi gani msafara wa magari wa Makonda unavyoonekana akiwa anaelekea kwenye ziara zake huko mikoani.?
Hapa nimekuletea picha tofauti za muonekano wa magari ya msafara wa Paul Makonda.
View attachment 2887296
View attachment 2887297
View attachment 2887298
View attachment 2887299
View attachment 2887300
View attachment 2887301
[emoji991] WasafiMedia
Written by Mjanja M1
Mkuu una maanisha marinda?Ndo umeandika manini haya? Tulegezee please
Tension - AttentionNdio wasukuma wengi walivyo.
Anataka tension kwa kila mtu.
Ushamba mzigo.
Duhh! Jehanamu tena? Nimecheka sana,,,,🤣🤣Kuna member mmoja aliwahi kusema ukifuatilia siasa na mambo ya Tanzania halafu ukaendelea kuwa comfortable bila ya stress unaweza kuishi jehanamu bila shida yoyote.
kwa hio ukifuatilia sana issue za siasa lazima uwe isivyo kawaida.
Utamu wa ziara yake unaingia shubiri anapoingiza kampeni za uchaguzi kumkampenia Samia.Mwenez atafutiwe magari kuendana na hadhi yake na ugumu wa kazi anayoifanya.Tunatambua mchango wake katika taifa tumpe sapoti.
Ila sasa ndio yeye anatuburuza sisi. 🤣😂Acha tu mkuu mm nikimwangalia huyu mama natamani nimdake nimburuze