Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kabisa ni mtandao wa kimafia na hapo utakuta tu maboss wamechomanaWe nenda na gari paki pale chalinze.....
Ukifatwa na mtu akikuambia kuna Box za kubeba juwa hao ni wahamiaji haramu wanatakiwa kubebwa π
Huu mtandao ni mrefu sana mzee unaanzia mbali
Ukiwa ndani mule maporini wana vituo vyao
Ova
Aisee,maisha haya πKwenye Sector ya usafiri kuna Ma mafia wengi sana.
I just saw picha ya gari la mzigo tena loose cargo inasafirisha wahamiaji haramu nikashangaa sana.
Yaani gari ukiona mzigo ni bomba za maji zimewekwa kwa kichanja.
Ila ndani kuna chumba raia wamepumzika wanasafiri na maisha yanaendelea.
Sasa ukisikia BEI ya kusafirisha kichwa kimoja ndo utajua kwanini wanene ndo wanapiga hizi kazi.
Chuma imekula raia 62 ndani Yani inakimbizana na uwezo wa Bus kubeba abiria na huwezi hisi.
Aliyegundua hili nafikiri kuna namna anahusika hapa maana huwezi fikiria kwa akili hizi za Kizimkazi festival.
Anyway video ya wasafi iko hapo chini angalie ujionee wenyewe kwa undani zaidi.
View attachment 3077758View attachment 3077759View attachment 3077760
Wabarudishwa kwao ila gari na mzigo vinataifishwa vinakuwa mali ya serikaliWanapelekwa wapi?
Ila bongo wanakamata sana. Hao wakishavuka bongo huko kwingine wanapita tu hadi kufika South. Lakini wahamiaji nao wangetumia hayo mamilioni kufanya shughuli zao huko kwao. Na pia wangeweza kupita tu kihalali. Nawakubali sana waburundi. Wao hupita kihalali hadi SAWe nenda na gari paki pale chalinze.....
Ukifatwa na mtu akikuambia kuna Box za kubeba juwa hao ni wahamiaji haramu wanatakiwa kubebwa π
Huu mtandao ni mrefu sanamzee unaanzia mbali
Ukiwa ndani mule maporini wana vituo vyao
Ova
mabasi yanakula ruaha mbuyuni, mitaa ya iyovi nako kuna chimba dawa na chakula Kwa matraveller na huezi kujua, lakini hela Kwa hao jamaa ipo watu wa namanga, kyela, tunduma wanapiga hizo mishe sanaWe nenda na gari paki pale chalinze.....
Ukifatwa na mtu akikuambia kuna Box za kubeba juwa hao ni wahamiaji haramu wanatakiwa kubebwa π
Huu mtandao ni mrefu sana mzee unaanzia mbali
Ukiwa ndani mule maporini wana vituo vyao
Ova
South Africa.... pale upata hadhi ya ukimbizi kisha wanaenda Ulaya kiraisi sanaWanapelekwa wapi?
Wengi ni wa Eithopia na wasomali wanaenda South Africa kisha Ulaya( ni raisi sana kwenda Ulaya ukiwa ma south african asylum seaker ID.Hao ni raia wa nchi gani!? Na walkuwa wanaenda wap!?
Ethiopia kuna tatizo kubwa kuliko letu kwenye utoaji passportIla bongo wanakamata sana. Hao wakishavuka bongo huko kwingine wanapita tu hadi kufika South. Lakini wahamiaji nao wangetumia hayo mamilioni kufanya shughuli zao huko kwao. Na pia wangeweza kupita tu kihalali. Nawakubali sana waburundi. Wao hupita kihalali hadi SA
Wata walivyo tuu mkuu huoni ni haram haoKwa nini wanaitww Wahamiaji haramu? Kwa vile hawana vibali (passport) za kusafiri au?
Kuna umafia sana kwenye hiyo biashara, jamaa kachomwa
Si umeona hapo wahamiaji haramu wamekamatwa
Kuna mwamba atakuja kuwafaulisha $300-500 kwa kila kichwa yaani lazima wafike wanapoenda hao
Aliyegundua hili nafikiri kuna namna anahusika hapa maana huwezi fikiria kwa akili hizi za Kizimkazi festival.
Wasomali wako Yanga hilo ni jibuKuna kiongozi mmoja wa timu kubwa hapa Tanzania alikuwa bingwa wa hii michezo wana wengi wanamshukuru sana kwa kuwasaidia.