raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Wana miili ya afya hao kilo hazizidi 55Kwa muonekano wao sidhani kama kuna yeyote ambaye uzito wake unazidi kilo 60. Hivyo tukichukulia wastani wa kilo 60 kwa kila mmoja jumla kwa wote 62 itakuwa kilo 3,720 ambazo ni wastani wa tani 4. Hivyo uzito wa watu na hizo bomba zilizowekwa hauwezi kuzidi tani 5.
Mikataba ya nchi na nchi, Kenya wanaingia bila Visa hapa kwetu lazima wawe na Visa na SA wanatakiwa wawe na Visa. Sisi tunaisaidia Ethiopia kuwadhibiti na tunaisaidia SA piaNdugu zao South Africa wametajirika na wako na pesa nyingi, so wanahitaji nguvu kazi kusaidia Biashara zao, hivyo huwagaramia kusafirisha Ndugu zao toka Ethiopia kwenda South Africa Kwa pesa nyingi Sana..!
Kukitoa kichwa kimoja toka Namanga mpaka Tunduma ni zaidi ya Milioni 1...! Kama Hawa walikua 62, means gharama ilikua zaidi ya Milioni 62 na pesa zote zinalipwa na Ndugu zao ambao wapo South Africa..!
Cha ajabu, kikwazo Kikubwa Cha safari Yao kipo Tanzania, na wao huongea kuwa wanapovuka Tanzania tu, hujihesabia washafika South Africa, Nchi nyingine wanapita tu kiulaini...!
Kinachonishangaza wengine wanakua na Passport means wanakua Transit sijui Kwa Nini kunakua na Ugumu wanapopita Tanzania.
Mkuu inaonekana uko Pre-occupied na ubaguzi na udini.We jamaa akili yako imejaa ubaguzi ubaguzi tu, naona unaandika pumba juu hadi chini hao sio Al shabaab wala sio wasomali na possibility kubwa sio waisilamu kabisa.
Wahamiaji wanao pita Tanzania wanatokea Ethiopia, wanakimbia Unyanyasi wa Ki Kabila/Ethnicity huko kwao.
Umesema wanaonekana ni wasomali na Al shabaab, tena sio Comment moja unarudia rudia,Mkuu inaonekana uko Pre-occupied na ubaguzi na udini.
Kwenye comment yangu nimetaja wapi Ubaguzi au Uislam?
Hao wanaenda SASasa hawa wahamiaji Haram wakiingia nchini wanakua Na kazi gani
SAWanapelekwa wapi?
Hao wanapita wanaenda SASasa hawa wahamiaji Haram wakiingia nchini wanakua Na kazi gani
Mkuu...! Kwa Mwafrica ukiwa na Passport na unasafiri toka Nchi Yako na unapita Nchi kama 3 mpaka kufika unapokwenda, huitaji kuomba Visa Kwa kila Nchi unayopita, wewe unajurikana kama ni TRANSIT, ukifika Boda unaulizwa unakokwenda, kama unapita tu kwenye Hiyo Nchi, unawaambia wewe ni TRANSIT.Mikataba ya nchi na nchi, Kenya wanaingia bila Visa hapa kwetu lazima wawe na Visa na SA wanatakiwa wawe na Visa. Sisi tunaisaidia Ethiopia kuwadhibiti na tunaisaidia SA pia
Biashara zote za usafirishaji wahamiaji lazima polisi wa patrol wapozwe pesa na wanawasindikiza Hadi mpakani mwa mkoa....ukiona dili limebuma kama hivyo ni MTU anechoma hasa polisi wenyewe au wafanyakazi wanaosafirishauyu alichomewa sio rahis kwa askar wa kawaida agundue kuna watu umooo
Utakuwa hujawahi kusafiri? Hebu tuambie wewe ukikata Visa ya Misri utapita Kenya bila mahitaji ya visa je Ethiopia na Sudan utapita bila Visa?Mkuu...! Kwa Mwafrica ukiwa na Passport na unasafiri toka Nchi Yako na unapita Nchi kama 3 mpaka kufika unapokwenda, huitaji kuomba Visa Kwa kila Nchi unayopita, wewe unajurikana kama ni TRANSIT, ukifika Boda unaulizwa unakokwenda, kama unapita tu kwenye Hiyo Nchi, unawaambia wewe ni TRANSIT.
Watakupa siku hazizidi 7, kwamba Kwa vile wewe ni TRANSIT na unapita tu kwenye Nchi Yao, ndani ya siku hizo uwe umevuka tayari, otherwise wakikukuta ume overstay ni Jela.
Lakini sio Kwa Hawa Wasomali, Hawa wapo Transit tu...!
Labda kama Kuna Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia kuwakamata kila Waethiopia wanaopita hapa.
CHADEMA ndiyo wanachelewesha maendeleo.🤔Biashara Halali inachelewa Sana maendeleo
Ila ikikugeukia mkuu. Si unaona wale waliokuwa wanatengeneza konyagi feki wamefungwa maisha.Aisee nakubali deal haramu zinalipa maana mtu kuwekeza Hadi bomba kwa ajili ya wahamiaji sio mchezo
Wale wamekula mvua aisee.Ila ikikugeukia mkuu. Si unaona wale waliokuwa wanatengeneza konyagi feki wamefungwa maisha.
Kongo kwa barabara hamna kitu kutoka dar mfano kwa barabara kama unataka kwenda Kinshasa utatumia miezi mitatuKwanini wasipitie Uganda Kisha Kongo
Wasomali wanakuwa na passport waethiopia hamnaMkuu...! Kwa Mwafrica ukiwa na Passport na unasafiri toka Nchi Yako na unapita Nchi kama 3 mpaka kufika unapokwenda, huitaji kuomba Visa Kwa kila Nchi unayopita, wewe unajurikana kama ni TRANSIT, ukifika Boda unaulizwa unakokwenda, kama unapita tu kwenye Hiyo Nchi, unawaambia wewe ni TRANSIT.
Watakupa siku hazizidi 7, kwamba Kwa vile wewe ni TRANSIT na unapita tu kwenye Nchi Yao, ndani ya siku hizo uwe umevuka tayari, otherwise wakikukuta ume overstay ni Jela.
Lakini sio Kwa Hawa Wasomali, Hawa wapo Transit tu...!
Labda kama Kuna Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia kuwakamata kila Waethiopia wanaopita hapa.
High risk higher returnIla ikikugeukia mkuu. Si unaona wale waliokuwa wanatengeneza konyagi feki wamefungwa maisha.
Na yule aliyeanza na ice cream ?
Sasa ni trilionea kama vile walianza babu zake karne ya 18🤣🤣🤣🤣
Pia kuna boda au route ya kupitia Mozambique huwa wanatumiaUlaya wapo ndugu zao wengi na wakifika south Africa Tu wameshagika ulaya.... Tanzania ndiyo nchi ngumu kupitia kwasababu ya umbali mrefu kutoka arusha hadi tunduma ndiyo maana hata pesa yake kuwasafirisha ni ndefu sana zaidi ya milioni 4 kwa mtu mmoja