ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Jiulize kwanini hajavaa viatu ndo utajua walikuwa wananyanyaswaUkiingalia hii picha vizuri ndivyo unavyopata kuujua ukweli.... Wale waliokuwa wanasema wakaazi wa Zanzibar kipindi hicho walikuwa wakiteswa na kufanywa watumwa hapo katika hiyo picha tunajionea mtu mweusi tena akiwa huru kabisa!