Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kaka Mimi iko na nguvu asilia, mundende iko tumia nyie NTU ya daslam ππ€πππππ Kumbe ujanja wote huo ujui maana ya mundende dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka Mimi iko na nguvu asilia, mundende iko tumia nyie NTU ya daslam ππ€πππππ Kumbe ujanja wote huo ujui maana ya mundende dogo
Mwisho wa siku una vimba mdomo Kama ume meza amila ππ€£Mamamaeee mambo ya kuiga kutoka Dunia ya Kwanza sio poa
Ahahahahaha aiseeee wee ni kijana wa hovyo pia kumbeKaka Mimi iko na nguvu asilia, mundende iko tumia nyie NTU ya daslam ππ€
Safi Sana ka ume fikia stage hiyo, ngoja niuze shamb la jirani ili nije kukuona daslam ππ€Yes,
Kuna mambo ambayo mtu mwingine asinge weza yavumilia true Ila wife kawa msaada Sana na Hiki kipind ndio tumekua karibu karibu MAANA Mimi Ni ubusy wiki nzima kwa mwaka nzima so ajari imeniweka home 24/7
Leo nilienda clinic kuangalia maendeleo ya mguu wangu naendelea vyema so kuanzia kesho ntaanza mazoezi rasmi ya kusimama na kukanyagia..
For sure nimeingiwa na hofu na woga kwenye haya Maisha WE CARRY LIFE & DEATH...
Ndio naanza kujifunza kutembea Tena
Kijana wa hovyo ndo yukoje huko daslam π€π€Ahahahahaha aiseeee wee ni kijana wa hovyo pia kumbe
Huyo Dr lizzy ameolewa ? Mimi hoja yangu ni hiyo tu kiongoziHuo ni uume? Mbona kama ngozi ya mkono?
Ngoja niite jopo tuweze kusaidiana kwenye hili.
DR Mambo Jambo
Dr Restart
Lucha
DR HAYA LAND
Dr Lizzy
Dr am 4 real PhD
Dr Matola PhD
Ina onesha huko Daslam mme umwa Sana ugonjwa huuππ€Kimasihara haifai kabisa/Wanawake wanaojiuza ni sumu/Ngono zembe ni hasara. π
Dah πMwisho wa siku una vimba mdomo Kama ume meza amila ππ€£
Doctor, mimi nina miezi 3 napata vipels vidogo mikononi vinawasha sana na baadae vilihamia kwenye mapaja, Hospital ya kwanza nilipewa dawa za kuchanganya kwenye mafuta ila zikagomaKwani huu ni uume?
HIi inaweza Kuwa dermatitis herpetiformis..
au autoimmune blistering disease (pemphigus vulgaris au bellious pemphigoid)
Jaribu kutumia Acycrovir (Tabs na Cream)
Itakusaidia sana
sio kweli amna dawa ya herpiesView attachment 2939159
Hii inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na majimaji kutoka kwa mwanamke mwenye haya maambukizi after unprotected sex
Unaweza kutumia condoms Ila WAKATI wa kuivua ukajigusa na majimaji ya mwanamke jua unao..
Na upo very active upo very fasta mkuu yaani ukigusa imo π
Ukitumia dozi za moja wapo ya hizi doxycycline,tretracycline, cefixime 200mg ama 400mg atapona..
Hakuna haja ya other strong antibiotics
Antibiotics can usually treat the infection successfully....Herpes ni bacterial infection?..naona umerecommend antibiotics..nijuavyo mimi herpes ni viral infection.
Sawa mkuusio kweli amna dawa ya herpies
Siumwagi magonjwa ya kizembe kama hayo Mimi kwa sababu siendeshwi na mihemko, ugonjwa unaonisumbia mara nyingi ni mafua ambacho hunisababishia kikohozi tu. Nipo makini sana na haya mambo ya Kimasihara tena nimeyapa kisogo kabisa. Namsubiri mwenye ubavu wangu ajitokeze.Ina onesha huko Daslam mme umwa Sana ugonjwa huuππ€
Kumbe Umesha umwa gonjwa hili π€πDah π
Haya mambo tuwe tunayaona tu huko duniani tena mitandaoni hayafai kabisa
To yeye nimekuita, itika pleaseAisee,Mungu tusaidie maradhi ni mengi mno
Karb Sana ukifika magufuli bus stand wewe nipe taarifa utaijiwa ππSafi Sana ka ume fikia stage hiyo, ngoja niuze shamb la jirani ili nije kukuona daslam ππ€
Kama wewe huna Dem au mke, intelli nina safari ndefu ya kuishi ππ€£.Siumwagi magonjwa ya kizembe kama hayo Mimi kwa sababu siendeshwi na mihemko, ugonjwa unaonisumbia mara nyingi ni mafua ambacho hunisababishia kikohozi tu. Nipo makini sana na haya mambo ya Kimasihara tena nimeyapa kisogo kabisa. Namsubiri mwenye ubavu wangu ajitokeze.
Kaka Nisije lala stendiπ, Nita kutafuta mpk useme Ume ikosea ikuluπ€£Karb Sana ukifika magufuli bus stand wewe nipe taarifa utaijiwa ππ
Mdogo wangu hata hiyo malaria mara ya mwisho nimeugua mwaka 2012 . Labda magonjwa ya tumbo tu hasa hizi food poisoningKumbe Umesha umwa gonjwa hili π€π