DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #221
Yeah Na mimi Nimeshangaa Sana Umebadilika Mungu Kakuokoa 😅😅Dan Kilingeni Msata nalisongesha.. Nilikuwa faya mno kwa tiba za ukagugi wa kienyeji😀 hata siamini kabisa ndio mimi wa sasa wa never miss church😉
🤭 Aisee...Mimi siku zilite najua wewe ni dada!?Aisee nimecheka sana!
I’m old enough to be your dad 🤣.
Kumbe ndo wewe?????Enzi hizo naitwa NANYUPU
Mi sikujui. Usilazimishe nikujue.🤭 Aisee...Mimi siku zilite najua wewe ni dada!?
Wengine tulianzia Jambo Chat.Je Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
View attachment 3204571
Hapa internet ilikua ya kuifungia safari kabisa, nilikua UDSM mwaka wa TATU. Nilikua natumia internet ya cable zile, LAZIMA uwahi kuipata cable uchomeke upate internet. Kuna watoto hawaelewi ninachosema.Je Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
View attachment 3204571
Nakumbuka ilikuja baada ya raha.comDarhotwire ilikiwa hot kwelikweli, enzi hizo lazime uingie internet Cafe saa 1 shilingi 500/1000
Enzi za kashfa KUBWA KUBWA za maana, Jambo forums ilimkaanga Sana Mkapa na Serikali yake kuhusu kashfa Kibao. Nadhani CCM wizi walianza zamani sana
Kweli kabisa.Enzi za kashfa KUBWA KUBWA za maana, Jambo forums ilimkaanga Sana Mkapa na Serikali yake kuhusu kashfa Kibao. Nadhani CCM wizi walianza zamani sana
Kagoda pia na scandals za akina Mramba......hivi vitoto haviijui CCMKweli kabisa.
Enzi hizo hata ile AnBen company iliibuliwa kupitia JamboForums.
Tumeishi mkuu
Wapi nimelazimisha unijue! Mimi nimesema nilikuwa nafikiri wewe ni Ke!Mi sikujui. Usilazimishe nikujue.
Nilikuwepo humo piaNlikuwa active sana humo
Ova
Jambo Chat kule Mjini Yahoo..
Umeandika hivi “ Aisee...Mimi siku zilite najua wewe ni dada”.Wapi nimelazimisha unijue! Mimi nimesema nilikuwa nafikiri wewe ni Ke!
WakongweAge mate? Hahaha!
Email account nimefungua 2001, ilikuwa hotmail.com
Facebook account nimefungua 2008.
Nilitumia Darhotwire miaka hiyo.
Jf sikwahi kuiona kabisa, ni 2012 ndio nilioona na baadae nikajiunga.
Nimeanza kuzagamua 1999🤣, nashindwaje kuwa mzazi wako.
Kabisa, mtupe heshima ya ukongwe na uzee sasa.Khe
Wakongwe
2006 mbali2006 ulikuwa toddler? 🤣
Ulikuwa una potty train?
Hahahaaa good grief.