Hiyo ikifuata baada ya salami "Hi".Ulikuwa mtandao wa habari lakini pia una chatrooms, yahoo walikuwa nayo pia...
Unaingia chatroom, unakuta kuna raia wapo tayari kuchat unaanzisha maongezi...
"ASL" wakongwe watakumbuka hii 😂
kuna jamaa alikuwa anaitwa maralia nani sijui walimpiga ban mwana ukome ile hadi leo hawajaitoaHatari sana ile JF, siasa za moto mnoo BAN zilikuwa za kugusa tu, tofauti na sasa uhuru umezidi
Sasa nifanyeje dogo, nilicheza na mama yako kabisa yani..anaweza kuwa umri wangu huyo🤣wewe mbabu unajisahau sana😂
Sio kwel 😁😁😁😁Mangi umezaliwa 80? 😺
But bhebhe Ole ntuzu ama nsukuma wa sehemu khe?Kaka yako, our native language is very difficult to write
Kuna moja hili nilipita kuchek naona kina mbowe, mnyika, kitila mkumbo 2006 kabisa walikuwemo wakitumia majina yao halisi😅Sasa nawaza mtu mzima mbowe Sasa hv anatumia Jina gani?Aisee hebu jaribu kupitia jukwaa MMU ya zamani. Humu sasa hivi kumelegea sana hata lile robot la Jamiiforums halipo tena. Invisible
Hahaha kumbe we ni katoto mwaka huo nipo zangu form one na sketi yangu ya marindaDuuh,. Ila kuna watu ni wazamani sana humu aisee 2006 parefu nyie
Sidhani kama nlikua najua vingine ukiachana na jina langu,. Labda na A for Apple😂😂
😅Kaka watu wanasema wenyewe ni kitambo mambo hzi sisi madogo zao tunawasikiliza lakini Nafikri wadau wanapoteza simu kwo ndio maana unaona mtu ana join tena upyanawaona joined 2023 na 2024 mnavyopangana wanetu
Ila manyanza bana 😹Utoto/ujinga/ tu hata tigo Pesa na MPesa hazikuwepo
😹😹😹 Wewe mi mkubwa shauri zako, nna wajukuu we huogopi?nakataa aisee
binti mbichi kabisa wewe
huna hata 30
Hivi ilikuwa mwaka gani?,uenda wengine tulikuwepo lkn hatukuwa japo na kiswaswadu!!,Je Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
View attachment 3204571
Dah.!! 😹Sio kwel 😁😁😁😁
Malaria sugu alikuwaga mdini ile mbaya na alikuwa anawavaa Chadema na CCM, Sijui alikuwaga CUFkuna jamaa alikuwa anaitwa maralia nani sijui walimpiga ban mwana ukome ile hadi leo hawajaitoa
Kaka tuchati pm 🤣🤣🤣Kuna moja hili nilipita kuchek naona kina mbowe, mnyika, kitila mkumbo 2006 kabisa walikuwemo wakitumia majina yao halisi😅Sasa nawaza mtu mzima mbowe Sasa hv anatumia Jina gani?
Kaka tuchati pm 🤣🤣🤣Kuna moja hili nilipita kuchek naona kina mbowe, mnyika, kitila mkumbo 2006 kabisa walikuwemo wakitumia majina yao halisi😅Sasa nawaza mtu mzima mbowe Sasa hv anatumia Jina gani?
Sio kubishana tu hata ukimpea inapenya...life is very funny!Aisee kweli ni baba😑,.
Ila nyie miaka inaenda sana aisee,.Just imagine leo uko jukwaani mnabishana kwelikweli na mtu unaweza kumzaa kabisa