uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Kumbe wewe ndo mara ya kwanza kukutana na hao jamaa baba?
Yani mpaka umeyaleta jf unajiona kama umeachieve kitu kikubwa sana[emoji3]
huko telegram haipiti sikuKumbe wewe ndo mara ya kwanza kukutana na hao jamaa baba?
Yani mpaka umeyaleta jf unajiona kama umeachieve kitu kikubwa sana[emoji3]
Kweli kabisa mkuu. Jamaa anataka tukalie habari ili ndugu zetu waendelee kutapeliwa na hawa wapumbavu wa kinigeria.Kwani kuna ubaya kuleta hakuna kitu kipya chini ya jua .
Shukran mkuu kwa kuliona hilo πUjuaji mkuu yaani humu kuna member bure kabisaπ¬
Nalijua hilo mkuu, lkn kitendo cha kuniambia kuwa yeye ni mmarekani na pia ni boss wa hiyo campan ya Bitcoin ndo kilichonifanya nimshtukie na kuamua kujiongeza. Katika maisha usipende kumuamini mtu kwa vigezo vidogo kama hivyo vya namba mkuu. Lazima umchalenji mtu na kama ni tapeli atajishtukia na kukimbia kama huyu.Wasap inaweza kutumika mahali popote Pia ujue. Mnajiria akienda USa anaweza Tumia namba yake ile ile.ujue hilo piah
Alijaribu kujitetea lakin akagundua kwamb tayari nishamshtukia.Alijibuje there after?
Yeye ndie alienianza na mimi nikamaliza.Nani alimuanza mwenzake?
Hawa huwa wanabahatisha namba. Mfano alishajua kwamba mitandao mingi inaanza na 071, sasa anaanza hivyo afu baada ya hapo anaandika namb zingine za kubahatisha ilimradi zienee kumi. Akishapata namba kumi anakwenda kuangalia kwenye whatspp kama mwenye hiyo namba aliyoibahatisha anatumia whatspp akikukuta ndo hapo mawasiliana ya kupima bahati yake yanapoanzia.Namba yako kaipataje?
Inawezekana hayupo telegramhuko telegram haipiti siku
There are far away only for stupid peopleπππ, not intelligence people and great thinkers like us.Kwenye suala la utapeli wa kimataifa wenzetu wapo mbali sana....
Nigerian people are very far far faraway......π€£π€£π€£ππ
Pole na hongera.......
Nilitaka kumuonesha tu kwamba mimi hakuna mnigeria au mpuuzi yoyote anaeweza kunitapeli mimi duniani hapa. Never.umeenda nae mlolongo mrefu hivo mm message ya kwanza tu sijibu
Ningekuwa sijamzidi akili asingenikimbia. Wabongo mnawafagilia sana wapopo ila wakikutana na vichwa wenyewe wanaloa.Inategemea na umri wake pengine ni kweli Mara ya kwanza na anajiona amemzidi akili negro kutoka Lagos hahahahahahh
Mkuu soma post namb #46 swali lako nimelitolea ufafanuzi.Kwani mimi siwezi kuwa US na WhatsApp nikatumia namba ya TZ?
Tatizo bado kuna wajinga wanaosababisha hawa wapumbavu waishi. Fikiria jitu linadanganywa kidogo linachachawa na kukimbilia kutuma pesa katika account ya jamaa.Mimi aliwahi kutokea mtu kujifanya mdada kutoka uingereza na kunifikia picha zake tukawa tunahati , sasa mila nikimuuliza maswali ya msingi hatoi majibu anapuuzia .
Siku moja akatumia picha ya vitu vya thmani mno ikiwemo Rolex Og na kudai amempa dada yake ambaye kaja africa niwasiliane nae nivipate na kunipa contact zake kumcheki sasa anataka nitumei dola kadhaa ili mzigo ufike maana yeye hawezi kuja Tz. Nikaona matapeli nikawatukana wakΓ nza kurudisha maneno na kiniblock kumbe ni matapeli wa wakiNigeria ....
Mkuu mimi sijakataa kwa sababu hata mimi mwenyewe naishi Kaburu lakini nikija bongo huwa nabaki na hii namba yangu ya Kaburu niliosajilia.Mkuu code number za whatsapp hazina uhusiano na mtu anapotoka ,inawezekana akatumia code ya nigeria lakini yupo USA especially whatsapp ,hata huku bongo wapo watu wanatumia whatsapp zenye namba za UK.
Mkuu mbona nimeshaeleza kuwa jamaa alipoona nimembananisha akaja na utetezi wake ambao ulikuwa hauna mashiko. Afu baadae akani block πππMbona hujatupa mpaka mwisho alisemaje????
Mr Dudumizi, katisha! Japo kaeleweka kimagumashi.Hivo vidhungu!!!!
Kwanini umkate kimba wakati anaendelea kunya?Habari zenu wana JF wenzangu, natumai kila mtu yuko vizuri.
Ebu fikiria mtu nimekulia maskani, dili zote za haram na halali nazijua, maana nyingi huwa zinapangwa katika maskani mbalimbali halafu ndo zinaenda kuchezwa halafu anakuja kijana from Lagos mashambani huko anataka kunitapeli mimi mbongo tena mchana kweupe, tena katika nchi ambayo kila mtu anatakiwa kuwa mafia ili maisha yaende.
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Namuonea huruma sana kijana, hapa najiuliza sijui nimtapeli yeye ili liwe funzo kwa wengine!
Angalia code namba yake na code namba za hizo picha mbili nilizotuma chini.
Picha ya chini kabisa jamaa amehamaki na kujaribu kujitetea kinafiki ila nikampuuza na ku block yeye mwenyewe πππ
View attachment 2504762View attachment 2504763View attachment 2504764View attachment 2504765View attachment 2504766