Picha: Jinsi tapeli la Kinigeria lilivyojaribu kunitapeli mtoto wa Magomeni Mikumi leo asubuhi

Mimi aliwahi kutokea mtu kujifanya mdada kutoka uingereza na kunifikia picha zake tukawa tunahati , sasa mila nikimuuliza maswali ya msingi hatoi majibu anapuuzia .

Siku moja akatumia picha ya vitu vya thmani mno ikiwemo Rolex Og na kudai amempa dada yake ambaye kaja africa niwasiliane nae nivipate na kunipa contact zake kumcheki sasa anataka nitumei dola kadhaa ili mzigo ufike maana yeye hawezi kuja Tz. Nikaona matapeli nikawatukana wakΓ nza kurudisha maneno na kiniblock kumbe ni matapeli wa wakiNigeria ....
 
Wasap inaweza kutumika mahali popote Pia ujue. Mnajiria akienda USa anaweza Tumia namba yake ile ile.ujue hilo piah
Nalijua hilo mkuu, lkn kitendo cha kuniambia kuwa yeye ni mmarekani na pia ni boss wa hiyo campan ya Bitcoin ndo kilichonifanya nimshtukie na kuamua kujiongeza. Katika maisha usipende kumuamini mtu kwa vigezo vidogo kama hivyo vya namba mkuu. Lazima umchalenji mtu na kama ni tapeli atajishtukia na kukimbia kama huyu.
 
Mkuu code number za whatsapp hazina uhusiano na mtu anapotoka ,inawezekana akatumia code ya nigeria lakini yupo USA especially whatsapp ,hata huku bongo wapo watu wanatumia whatsapp zenye namba za UK.
 
Alijibuje there after?
Alijaribu kujitetea lakin akagundua kwamb tayari nishamshtukia.
Nani alimuanza mwenzake?
Yeye ndie alienianza na mimi nikamaliza.
Namba yako kaipataje?
Hawa huwa wanabahatisha namba. Mfano alishajua kwamba mitandao mingi inaanza na 071, sasa anaanza hivyo afu baada ya hapo anaandika namb zingine za kubahatisha ilimradi zienee kumi. Akishapata namba kumi anakwenda kuangalia kwenye whatspp kama mwenye hiyo namba aliyoibahatisha anatumia whatspp akikukuta ndo hapo mawasiliana ya kupima bahati yake yanapoanzia.

Kingine kikubwa atachofanya hivyo ni kucheza na code za nchi za watu anaotaka kuwatapeli.

Natumai umenipata hapo mkuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230203-130624.jpg
    49.8 KB · Views: 5
Kwenye suala la utapeli wa kimataifa wenzetu wapo mbali sana....
Nigerian people are very far far faraway......πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
Pole na hongera.......
There are far away only for stupid peopleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, not intelligence people and great thinkers like us.
 
Tatizo bado kuna wajinga wanaosababisha hawa wapumbavu waishi. Fikiria jitu linadanganywa kidogo linachachawa na kukimbilia kutuma pesa katika account ya jamaa.
 
Mkuu code number za whatsapp hazina uhusiano na mtu anapotoka ,inawezekana akatumia code ya nigeria lakini yupo USA especially whatsapp ,hata huku bongo wapo watu wanatumia whatsapp zenye namba za UK.
Mkuu mimi sijakataa kwa sababu hata mimi mwenyewe naishi Kaburu lakini nikija bongo huwa nabaki na hii namba yangu ya Kaburu niliosajilia.

Nilichofanya mimi ni kumvuta na kumtarget ili kujua kama jamaa ni tapeli au. Na kweli imesaidia kujua kama jamaa ni tapeli kwa kujaribu kuleta utetezi usiokuwa na mashiko na baadae kuni block mwenyewe.

Soma post namba #46 ina maelezo na picha ya comment yake ya mwisho ya kujikanganya baada ya kujua nimemtarget hiyo hapo.
 

Attachments

  • Screenshot_20230203-130624.jpg
    49.8 KB · Views: 5
Mbona hujatupa mpaka mwisho alisemaje????
Mkuu mbona nimeshaeleza kuwa jamaa alipoona nimembananisha akaja na utetezi wake ambao ulikuwa hauna mashiko. Afu baadae akani block πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • Screenshot_20230203-130624.jpg
    49.8 KB · Views: 5
Kwanini umkate kimba wakati anaendelea kunya?

Kama wewe ni mjanja wa mjini kama unavyojinasibu, ungemsongesha hadi tuone sura halisi ya ujanja wako wa namna ya kukwepa majanga kijanja, pia tuone namna "kikulacho" alivyojishughulisha kupoteza muda wake wa kukushawishi kisha kukukosa.

Haiwezekani upigiwe na tapeli la "tuma kwenye namba hii" halafu ulitukane na kulistopisha, kisha uje kuanza kujigamba kwamba umekoswa koswa kutapeliwa!?

Hayo uliyotuonesha yalikuwa ni maongezi tu ya kishikaji hasa kwa mtu ambaye simu yake ili-missbahave na kukosea destination address halisi ya mawasiliano yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…