Bro inshort utakavojiweka ndo matapeli watakavokuingia. Mi nna kiwanja kibaha, mapinga na Goba, kibaha na mapinga kuna utapeli wa kutisha, tapeli mmoja aliuza plot yangu cz sijaenda kusafisha wala kupaona for sometimes. Sikutaka kugombana na aliyeuziwa, kwenda polisi wa kwa mtendaji wa mtaa. Mi nlimtafuta aliyeuza nikamwambia ntakufanya usiyoweza kuhimili cz jamaa ndo tapeli mbabe maeneo yale, Akajua utani. Mwisho wa siku alimuita aliyemuuzia akamwambia usisogee kwenye kile kiwanja tena, nadhani walilipana. Kwa aliyoyaona mkewe aliamua kuondoka na jamaa utapeli aliacha.
Sent from my Nokia C1 using
JamiiForums mobile app