Picha Kubwa: Mbunge Dkt.Ali Bashiru akifuatilia hotuba ya Rais Samia

Picha Kubwa: Mbunge Dkt.Ali Bashiru akifuatilia hotuba ya Rais Samia

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
175467302_3958942464197416_7922564871061193145_n.jpg


Bashiru Ali akifuatilia hotuba ya mheshimiwa Rais. Mbunge huyu wa viti maalumu kabla ya kuteuliwa amewahi kushika nyazifa mbalimbali ikiwemo Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa CCM.

My Take
1. Demotion isikie tu kwa mwenzio
2. Malipo ni hapa hapa duniani
 
Mwanaume kukaa unamuwaza mwanaume mwenzako asubuhi asubuhi ni dalili za uchizi. Sometimes huwa nafikiria PW Botha wa South Africa alikuwa sahihi kwa sentensi zake za kibaguzi juu ya watu weusi.
Umepunguza sana ukali wa maneno mkuu. Ungekuwa straight kabisa maana tunafahamu mwanaume anaemuwaza mwanaume mwenzake ana sifa zipi
 
Maskini dokata wa watu, anajutia kuwa sehemu ya watesi, dhambi zimemzidia - huu ni muda muafaka wa kutafuta kanisa na kuokoka ili kurudisha furaha ya moyoni.
 
Umepunguza sana ukali wa maneno mkuu. Ungekuwa straight kabisa maana tunafahamu mwanaume anaemuwaza mwanaume mwenzake ana sifa zipi
Mmejiweka wazi,! Ninyi kumbe mnapomtajataja mbowe na lissu kumbe ndivyo mlivyo!!!
 
Umepunguza sana ukali wa maneno mkuu. Ungekuwa straight kabisa maana tunafahamu mwanaume anaemuwaza mwanaume mwenzake ana sifa zipi
njoo nikupige miti nyuma ili utoe ushuhuda vizuri
 
Back
Top Bottom