Picha Kubwa: Mbunge Dkt.Ali Bashiru akifuatilia hotuba ya Rais Samia

Hahahaa ,lakn hapana hicho kilikua kipind cha maswal na majbu mkuu.
 
Mwanaume kukaa unamuwaza mwanaume mwenzako asubuhi asubuhi ni dalili za uchizi. Sometimes huwa nafikiria PW Botha wa South Africa alikuwa sahihi kwa sentensi zake za kibaguzi juu ya watu weusi.
Umepunguza sana ukali wa maneno mkuu. Ungekuwa straight kabisa maana tunafahamu mwanaume anaemuwaza mwanaume mwenzake ana sifa zipi
 
Maskini dokata wa watu, anajutia kuwa sehemu ya watesi, dhambi zimemzidia - huu ni muda muafaka wa kutafuta kanisa na kuokoka ili kurudisha furaha ya moyoni.
 
Umepunguza sana ukali wa maneno mkuu. Ungekuwa straight kabisa maana tunafahamu mwanaume anaemuwaza mwanaume mwenzake ana sifa zipi
Mmejiweka wazi,! Ninyi kumbe mnapomtajataja mbowe na lissu kumbe ndivyo mlivyo!!!
 
Umepunguza sana ukali wa maneno mkuu. Ungekuwa straight kabisa maana tunafahamu mwanaume anaemuwaza mwanaume mwenzake ana sifa zipi
njoo nikupige miti nyuma ili utoe ushuhuda vizuri
 
Bashiru analipa malipo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…