Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,236
- 1,411
Hiyo ni aibu kwa CCM na serikali yake ................... Kwa data nilizonazo mpaka sasa Tanzania nzima kua escalator moja tu pale JKN Airport!! Halafu kuna watu wanadai CCM imetuendeleza!! Tatizo ukiishi kwenye ujima, Ujamaa unaona ni maendeleo makubwa!!kweli Tanzania tunaishi ulimwengu wa tatu,yaani lift tu hadi inatanganzwa namna ile?
[/QUOTE]Bujibuji ukuje hapaQUOTE=Jalem;9777919]Ni aibu kubwa kusikia habari kama hizi, kweli mkuu wa wilaya anaenda zindua Lift, jamani tunajiaibisha sn, nivitu ambavyo havihitaji kuelezwa kwenye kadamnasi, kwani ukijenga jengo kubwa huna haja kusema naleta lift watu wakiiona basi wanatumia, lkn huyu mkuu amekosa kazi anaenda kufanya kazi ya mwenye nyumba ni aibu sana.
mbona hilo lenye lift ya kwanza lina ghorofa saba?
Quality city pia ipo escalatorHiyo ni aibu kwa CCM na serikali yake ................... Kwa data nilizonazo mpaka sasa Tanzania nzima kua escalator moja tu pale JKN Airport!! Halafu kuna watu wanadai CCM imetuendeleza!! Tatizo ukiishi kwenye ujima, Ujamaa unaona ni maendeleo makubwa!!
evidence of a lift/elevator!
tehe! tehe! tehe.....Watoto waliozaliwa Mbeya leo wote wameitwa MWAKALIFT
Hiyo ni aibu kwa CCM na serikali yake ................... Kwa data nilizonazo mpaka sasa Tanzania nzima kua escalator moja tu pale JKN Airport!! Halafu kuna watu wanadai CCM imetuendeleza!! Tatizo ukiishi kwenye ujima, Ujamaa unaona ni maendeleo makubwa!!
mkuu imezinduliwa jana, aisee nimeshaa!Ulikuwa ulimwengu upi ndugu?
Hii sio Breaking News, ni habari iliyokwishapitwa na wakati hapa jf, karibu siku ya nne leo tangu uzinduzi huo ufnywe!