Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kugombea Lissu huo uenyekiti , Binafsi sijaona kosa lolote,ila nayo mitandao Ina uzuri sana.Watumiaji wengine ndio wanaharibu kwa kukuza mambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila sio na Msigwa. Yaani Lisu akatae pesa za Abdul ndio afadhiliwe na huyo boya mwenye nogwa?!Lissu inaonekana sasa hivi remotely kama vile drone
MsigwaNi kweli, ila sio na Msigwa. Yaani Lisu akatae pesa za Abdul ndio afadhiliwe na huyo boya mwenye nogwa?!
Is Lissu that soft!!!Picha ya kikoa cha leo
Lissu kajimaliza kisiasa kwa ushawishi wa msigwa
Ccm haitaki katiba mpya wala siasa za mapambano, ndio watampa pesa Msigwa ampe Lisu kufanya PC wakati msimamo wa Lisu ni hatari kwa ccm kuliko wa Mbowe? Haya ya mambo ya kuwa bendera fuata upepo yanawafanya hata mshindwe kufikiri kwa usahihi.Msigwa
Uelewe wewe kama nani?Sijaelewa kitu hapa.
Ficha ujinga wakoUelewe wewe kama nani?
Noo, wanataka baadae wambaneCcm haitaki katiba mpya wala siasa za mapambano, ndio watampa pesa Msigwa ampe Lisu kufanya PC wakati msimamo wa Lisu ni hatari kwa ccm kuliko wa Mbowe? Haya ya mambo ya kuwa bendera fuata upepo yanawafanya hata mshindwe kufikiri kwa usahihi.
Hili lipo wazi, lissu remote controlled by msigwaVijana wa Mbowe wapumbavu sana yaani munaamua mushushe hadhi ya Lisu kwa kumtuhumu katumwa na Msigwa? Pumbavu zenu, yaani mnataka kutwaambia Lisu hana maamuzi? Mwaka huu mtasema yoote na msipoangalia lichama lenu linaenda kuporomoka.
Kwani wewe humpendi Msigwa ? Kuna uthibitisho kuwa Msigwa ndiye mshauri wa Lissu ?Tatizo nyuma yake yupo msigwa wa ccm
skanga imekuharibuApigwe nduli Lissu..... (wote tuitikie).....apigweeeee!!!!!!
Namuonea huruma Lissu controlled by msigwaKwani wewe humpendi Msigwa ? Kuna uthibitisho kuwa Msigwa ndiye mshauri wa Lissu ?
Punguza utoto boss.Noo, wanataka baadae wambane
Utoto tena?Punguza utoto boss.
Hahaha mzee wa chaiFicha ujinga wako