vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Anatetea ndugu zakeJibu swali hilo kabila la wasomali linapatikana mkoa gani hapa tanganyika? Hao wanahistoria na wewe unadhani nani anajua vizuri makabila ya tanganyika?hao wahindi,waarabu na wasomali unawaona wajinga kwa wao kukaa kimya kwamba hawajawa included? Kama ni rahisi ivyo basi tuwajumuishe na wa khosa, waigbo na wazulu nao wapatikane tanganyika
Dah ile ishu inahuzunisha😂😂😂
Ule mkono uliomunyoshea Zitto kumwambia Wewe ni muongo ulikufa kabisa 😁😁😁
Mpumbavu mmoja anataka kupindisha pindisha kila jambo muhimu linalomuhusu mtanganyika kwao zanzibar sijui hapaoni kuna urangi wa hali ya juu hili humkuti akilisema kamweAnatetea ndugu zake
Lukuvi ndio sura yake hiyoNa Mie nashangaa Lukuvi kufurahi vile kwanini? Au na Luhaga naye aliwahi kufurahi wakati Lukuvi ananyang'anywa uwaziri wa Ardhi?
Mafisadi yanaushirikiano wa hali ya juuMpumbavu mmoja anataka kupindisha pindisha kila jambo muhimu linalomuhusu mtanganyika kwao zanzibar sijui hapaoni kuna urangi wa hali ya juu hili humkuti akilisema kamwe
Duh! Hicho kichwa ulibeba Kwa ajili ya kufugia nywele tu, na si zaidi ya hapo.Yeye mbunge WA wasukuma Kisesa
Wasukuma WA Jimbo lake na chai au sukari wapi na wapi?.Walimtuma wapiga kura WA Kisesa kuwa kwao kero NI sukari?
Hayo ndio matatizo ya Jimbo la Kisesa?
Kweli kabisa mkuu hao yani kama wana viapo vya vifo kulindanaMafisadi yanaushirikiano wa hali ya juu
Na wageni yamejificha kwenye kundi la mafisadi
Thibitisha uoga alionao Bashe na hasira alizonazo Mpina.Picha ya Mhe. Luhaga Mpina akiondoka Bungeni akitazamwa na Bashe kwa woga. Je, Mpina kamuachia Mungu?
Refer issue ya Musiba.
View attachment 3025822
View attachment 3025933
ilibidi nimuulize hii ishu ya Bashe na Mpina ex-bosi wangu mmoja wakati nikiishi Ukimani 🇹🇿, ambaye amewahi kua waziri na kwa sasa amebaki na ubunge. alichonijibu anasema anayosema Mpina ni kweli na Bashe alipokea maagizo tu ila ndio anakua mbuzi wa kafara.Ukiisoma hiyo picha nyuso zao. Ni Mpina anamwambia unajua ukweli na utahukumiwa na Mungu. Na Bashe ni kama anasema nisamehe Kaka, hizi siasa na nimekukosea kwa wewe kusema ukweli. Picha zinaongea....
Acha uchawa wewe kubwa jinga, nyavu zilizochomwa zilikuwa hazikidhi vigezo.KIpindi kuna uhaba wa sukari na bei kupanda wananchi wanateseka alikuwa kanyamaza kimya, Waziri kapambana hadi kutoa vibali kuleta unafuu anakuja kutuambia vibali walipewa wauza nguo, ndio wauza nguo ila kama wameweza kutuletea sukari tukapata ahueni kwa ruhusa ya muda yeye shida yake nini, au kwa vile wanaomtuma walitaka waendelee kutuchezea wapige faida kwenye shida ya sukari. Atuondelee ujinga
Yeye alivyochoma nyavu za wavuvi badala ya kuandaa mpango kuwaelimisha na kuwawezesha uvuvi sahihi hakuona wale wanyonge?
Warrors may ffooottt, huyo mpina ni msukuma , sukuma ni super warrior, HEADLESSHuijuwi damu ya Kisomali wewe, watazame hivyo hivyo. Hao wanaitwa "warriors", hawana kitu kinaitwa uoga katika genes zao.
Pina ni mwenyekiti wa GAMBUSHIInasemekana Mpina amelia sana nje ya ukumbi wa bunge jana, watu wakawa wanambembeleza, amelia kwa kwikwi na jasho likimtoka
Unaelewa ushahid wew kubwa jinga??? Alichokisema kwenye press ni udadavuzi HEADLESS GIRL.Mbona haujauona huo ukweli? Au upo aliokiupa wewe zaidi ya ule alioiufikisha bungeni?
Nilimshangaa alipojitetea kwenye kamati kuwa ule alioongea na waandishi wa habari siyo ushahidi bali aliouleta bungeni ndiyo ushahidi.
Unapata picha ipi hapo?
andika vizuri basi, kwani unagombana hapa?Warrors may ffooottt, huyo mpina ni msukuma , sukuma ni super warrior, HEADLESS