Wamebebwa na malori. Picha baadayeAcha kejeli,, watu wenyewe wanaolia wako wapi hapo? Sasa hao walioenda kumpokea si wanaccm,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamebebwa na malori. Picha baadayeAcha kejeli,, watu wenyewe wanaolia wako wapi hapo? Sasa hao walioenda kumpokea si wanaccm,
Tozo ya umeme kutoka 1500 hadi 2000Unajitoa ufahamu nitasema sana MAMA kizimkazi ni mama tozo hata wewe unajua na chawa wenzako mnajua chura kiziwi ni Mama tozo
Tanzania itajengwa na watanzaniaTozo ya umeme kutoka 1500 hadi 2000
Hilo jitu halina akili kabisaAkiiona hii post atafurahi kwelikweli kana kwamba ni kweli, wala asijue umeandika mtego mbaya sana kwa yeye avunaye alichokipanda na akitaka kuvuna hanaga madaraja ya vyeo vya duniani
Usisahau kuweka number ya simu......DC Magoti kalitopola subiri uingie wewe soonNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.hii leo amepata mapokezi mazito na ya kusisimua sana ,mapokezi ambayo hayajawahi kushuhudiwa,mapokezi ambayo yameshuhudia viongozi wa juu kabisa wa chama kitaifa wakiwa mkoani Katavi kumlaki na kumpokea shujaa wetu na Mama yetu wa Taifa Daktari Samia Suluhu Hasssan.
Mapokezi ambayo yameshuhudiwa watu wakitokwa na machozi ya furaha bila kujizuia,mapokezi ambayo yameteka hisia za watu wengi sana.mapokezi ambayo yameonyesha namna Jemedari wetu na Mboni yetu ya Taifa anavyokubalika na kupendwa na watanzania.kila sehemu na kila eneo ni Mama Mama Mama Mama Mama.
Watu wamefurahi kumuona Rais Samia mpaka wanatamani apite juu ya migongo yao ,watu wana raha na furaha mpaka wanatamani akakanyage mashamba yao .wana furaha ambayo haijawahi kutokea.huwaambii kitu kwa Rais Samia.
wanampenda Mama mpaka wanashindwa kujizuia hisia zao za upendo kwa Mheshimiwa Rais.wanatama wasukume hata gari lake au wafungwe kamba ili wawe wanalivuta kwa kamba gari alipopanda Mheshimiwa Rais kama sehemu ya kuonyesha upendo na heshima yao kwa Mheshimiwa Rais.View attachment 3040443View attachment 3040444
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili View attachment 3040445View attachment 3040449
Jinga sana dogo😀😀😀Acha kuleta ujinga wako hapa vinginevyo utapata matokeo ambayo siyo ya kufurahisha upande wako
Umeanza ujinga wako?Jinga sana dogo😀😀😀
Huko Katavi kuna mradi gani mkubwa unaotekelezwa muda huu?.Hakutakuwa na haja ya kampeni maana mpaka sasa ameshapita kwa kishindo katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.
Miradi mingi sana.kaa karibu na Tv yako kufuatulia ziara ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ili ujionee Mwenyewe badala ya kusubiri kuhadithiwa.Huko Katavi kuna mradi gani mkubwa unaotekelezwa muda huu?.
Miradi ya afya,Elimu,na kilimo mkuu ,ndio maana mafuso ya wachagga yanapigana vikumbo kwenda kusomba mahindiHuko Katavi kuna mradi gani mkubwa unaotekelezwa muda huu?.
Lucas wewe ni ME au KE?, Upo vizuri sana katika kuipamba serikali ya awamu ya sita, una ethusiasm ya hali ya juu.Miradi mingi sana.kaa karibu na Tv yako kufuatulia ziara ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ili ujionee Mwenyewe badala ya kusubiri kuhadithiwa.