Picha: Meli kubwa ya abiria, Norwegian Dawn imetia nanga Dar 16.01.2024

Picha: Meli kubwa ya abiria, Norwegian Dawn imetia nanga Dar 16.01.2024

Uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi
 
huu ndio uchumi wa blue sasa.

naipongeza serikali chini ya mama dr samia saisi wa jamuhuri pamoja na viongozi wote wa chama cha mapinduzi
🤣🤣🤣 Chama kinahusikaje.
Acha maneno mengi
 
Uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi uteuzi
Unataka uteuzi?
 
hahaha kama gizadar imegeuka mombasa sawa, nijuavyo hiyo meli iko mombasa ndiyo hata kuna sehemu ya cruise ships, labda kama ni meli ya unyago hapo sawa …
Aisee watu wengine nyie ni wabishi sana kwa kweli
 
Tangu museme mama anafungua nchi hakuna mpya zaidi ya kuona minada ya rasilimali zetu kwa waarabu.
Tanzania haijawahi kupata Rais mwenye IQ angalau ya 40.
Mkuu hiyo meli umeiona?
Watalii kibao. Namna ambavyo pesa zinatumika ni habari ingine
 
Nadhani kwenye vichwa kuna kitu hakiko sawa kwa sababu haiwezekani watu wanaamka asubuhi asubuhi na kuanza ku-discuss kuhusu meli. What is the hell?
 
hahaha kama gizadar imegeuka mombasa sawa, nijuavyo hiyo meli iko mombasa ndiyo hata kuna sehemu ya cruise ships, labda kama ni meli ya unyago hapo sawa …

IMG_6321.png
 
Hiyo meli inasimamiwa na kampuni ya A&K hii ni kampuni ya utalii ofisi zake kwa hapa Tanzania zipo Arusha.
 
Back
Top Bottom