Nilifikiri unajielewa na kuelewa haki za kila mmoja wetu anapokua suspect na elewa kuwa hakuna sheria inayowaruhusu police kupiga raia au suspect,Kila kitu katiba mpya....yaani upuuzi waliokuwa wanaufanya makerubi hukuuona? Hivi mnaishi vipi na familia zenu mnapokuwa vinara wa kurndekeza ujinga na Uhuru uliopitiliza?
Njoo in box nikusaidie kupata decoder ya dstv yenye Chanel za ID,ujifunze jinsi police wanavyotakiwa kufanya kazi zao kisheria n kihalali and after all nani kakupa mamlaka ya kuhukumu?