monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!Lucas akimwona anabubujikwa na machozi ya furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Lucas akimwona anabubujikwa na machozi ya furaha.
Dogo ni billioner wa michongo
Sio wa kumshirikisha kabisa kwenye madili yako ya udalali.Lissu mpumbav san
Kabisa,yaan mi ningetumia sana...Mwacheni atumie wakati wake hata wewe baba/mama yako angekuwa Rais ungekuwa kama yeye au zaidi
Je ana udugu na Kikwete au Ridhiwan? Du kuna namna hapa. Sijui kama baba yake alimpima DNA.
Kwamb hajulikani ama?
Kisiasa unajiua. Unless future yako ni maokoto tuKabisa,yaan mi ningetumia sana...
Ningenunulia sijui nini...daah!
Anha,hapo nimekuelewa mkuuKisiasa unajiua. Unless future yako ni maokoto tu
Ni mtanzania....raia halali wa Tanzania huru.....
Hazina itakuwa ina operate kutoka nyumban kwangu Masaki kutoka gorofa ya 18 floor ya juu 12.Mwacheni atumie wakati wake hata wewe baba/mama yako angekuwa Rais ungekuwa kama yeye au zaidi
Waafrika tunafanana....Kafanana na Kikwete
Mwizi tu kama kama yake Ridhiwan. No more no less. Mbona huo umaarufu wake hatukuusikia wakati wa Magufuli ambaye hakuendekeza familia katika kuibia umma?Ni mtanzania....raia halali wa Tanzania huru.....
Kijana mwenzetu huyu anakipenda sana taifa lake na hakuna sababu yoyote ya kumchukia kwa sababu ya "nasabu" yake na wazazi wake....
Mtu hachagui WAZAZI....
#Nchi Kwanza!
.....na mwongo na mzushi sana!Lissu mpumbav san