Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Sijui kama unajua unachosema mwanangu. Hatuongelei umaarufu bali uadilifu. Ushawahi kusikia kuwa watoto wa Nyerere au Magufuli ni mabilionea? Hawa ndiyo watu waliojua walichokuwa wakifanya ikulu tofauti na manyang'au weneinge walioingia na kuzitumia ikulu kuibia umma kama hawa unaowatetea. Je wamekutuma, unajikomba kama chawa wengine, au una uhusiano na ushirika nao?
Thibitisha ubadhirifu wa huyo ndugu Abdul.....

Thibitisha ubilionea wake hapa....

Mjomba mkubwa....si familia ya JPM Wala Nyerere iliyo na hali ya chini kama tuliyonayo raia wengi.....

Do you have personal issues with Abdul?!!
 
Unaongelea maadili au madili? Huyu wetu hana maadili bali madili. Na sijui hata kama anajua maana na umuhimu wake baada ya kuachia ngazi. Ukiona kiongozi mzima anajisifu kwa uchafu wa kufuga chawa, usitegemee maadili mwanangu.

Nimekuelewa vizuri sana.
 
Thibitisha ubadhirifu wa huyo ndugu Abdul.....

Thibitisha ubilionea wake hapa....

Mjomba mkubwa....si familia ya JPM Wala Nyerere iliyo na hali ya chini kama tuliyonayo raia wengi.....

Do you have personal issues with Abdul?!!
Mwanagu Mkunwa kama Nazi, naomba ujibu maswali yangu kama umetumwa, unajipendekeza au ni chawa wa kawaida kama huna ushirika na ujambazi huu.
 
Kijana mfano wa kuigwa mwenye kupenda maridhiano na Amani ya nchi ya yake
 
hv mbona kabla mama hajawa rais tulikuwa hatumsikii kabisa?

et madame ephen_ kabla ya mama yake kuwa rais huyu kiumbe alikuwa anasikika huko daslamu?
Kwa Magufuli asingefurukuta. Tena si ajabu na mama yake angetimuliwa kama angejaribu kufanya anachofanya leo hii.
 
Kumaanisha, huyo dogo ana mamlaka gani kwenye nchi isiyo ya kifalme? nchi inayotambulika kwenye umoja wa mataifa kama Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Huyo dogo ana wadhifa kwenye Idara au Wizara gani ya Jamhuri hii? Huyo dogo ana kampuni binafsi yenye uwezo wa kuiweka Serikali yote mfukoni? 🤔
 
Back
Top Bottom