Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Duh..!Kafanana na Kikwete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh..!Kafanana na Kikwete
Anafanana sana na Baltazar engonga!
Sura kama ya JK,!Anafanana sana na Baltazar engonga!
Ebu toeni comments zenu.
KKKT yahubiri nuru ya Taifa mkesha wa Krismasi🤣🤣Ni mfupi kwa kimo ila ana uwezo mkubwa wa kufikiri, huyu kijana ana ushawishi na anaogopeka na wakuu wa taasisi wote.
Ukiwa na jambo lako ukafanikiwa kumuona basi simu yake moja na jambo lako litakuwa limepata ufumbuzi.
All in all si mjivuni kama baadhi ya watu wanavyomsema hapo.
Mrina na mgawa asali
Usifananishe Nyerere na huyo taka taka mtoto wa Magufuli alikuwa anamiliki Nyanza construction. Unajua ni miradi mingapi walipewa na kujenga chini ya kiwango ? Usituletee Umbusu humu.Sijui kama unajua unachosema mwanangu. Hatuongelei umaarufu bali uadilifu. Ushawahi kusikia kuwa watoto wa Nyerere au Magufuli ni mabilionea? Hawa ndiyo watu waliojua walichokuwa wakifanya ikulu tofauti na manyang'au weneinge walioingia na kuzitumia ikulu kuibia umma kama hawa unaowatetea. Je wamekutuma, unajikomba kama chawa wengine, au una uhusiano na ushirika nao?
Hivi unajua kuna watoto wa Nyerere bado wanalima musomaThibitisha ubadhirifu wa huyo ndugu Abdul.....
Thibitisha ubilionea wake hapa....
Mjomba mkubwa....si familia ya JPM Wala Nyerere iliyo na hali ya chini kama tuliyonayo raia wengi.....
Do you have personal issues with Abdul?!!
Kwani ww hujui kwann anaogopeka na anaushawishi??Ni mfupi kwa kimo ila ana uwezo mkubwa wa kufikiri, huyu kijana ana ushawishi na anaogopeka na wakuu wa taasisi wote.
Ukiwa na jambo lako ukafanikiwa kumuona basi simu yake moja na jambo lako litakuwa limepata ufumbuzi.
All in all si mjivuni kama baadhi ya watu wanavyomsema hapo.
Inji hii ya kusadikikaInji ni kitu gani?
Backup kutoka jumba la chokaa, pia ndio mwana pendwa wa namba moja. Ndio kiungo mchezeshaji akiamua ameamua...Kwani ww hujui kwann anaogopeka na anaushawishi??
Ni wakulima matajiri hao....waangalie kama wanafanana na wanakijiji wengine...Hivi unajua kuna watoto wa Nyerere bado wanalima musoma
Kakuibia nini ?!!Huyu dogo ni mwiz...
Wewe pia unaitafuna....uko humu ukitumia MKONGO wetu sote....Wanatafuna kodi zetu
Smart na "down to earth" sana....Ni mfupi kwa kimo ila ana uwezo mkubwa wa kufikiri, huyu kijana ana ushawishi na anaogopeka na wakuu wa taasisi wote.
Ukiwa na jambo lako ukafanikiwa kumuona basi simu yake moja na jambo lako litakuwa limepata ufumbuzi.
All in all si mjivuni kama baadhi ya watu wanavyomsema hapo.
Zanzibar si nchi....Ila hii issue ya wazanzibar kuongoza bara imekaa kiboya sana 😁😁😁, hapa nawaza kama awamu ya kwanza ni hivi je awamu ya pili ya mwisho? Basi huyo dogo atazikomba saaana