Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Watu hatari kisiasa na kiuchumi, ni Mwiny... Kule Zanzibar, Riziwan... Na Abdul.
Tusipohangaika nao,itakula kwetu soon
Kwenu si kwao ?!!

Wewe ni nani na wao ni akina nani ?!!

Utahangaikia nini ?!! Lipi ?!!
Utahangaika na akina nani ?!!
 
Ni mtanzania....raia halali wa Tanzania huru.....

Kijana mwenzetu huyu analipenda sana taifa lake na hakuna sababu yoyote ya kumchukia kwa sababu ya "nasabu" yake na wazazi wake....

Mtu hachagui WAZAZI....

#Nchi Kwanza!

Raia wa Zanzibar.

Zanzibar ni nchi.

Huyu ndio Mzanzibar anaewasumbua Watanganyika.
 
Yaani huyo dogo ndiyo anayeipelekesha Tanganyika na TAKUKURU wanaufyata kwake. Kweli dogo kiboko ya machogo.
Screenshot_20241206-054853.jpg
 
Raia wa Zanzibar.

Zanzibar ni nchi.


Huyu ndio Mzanzibar anaewasumbua Watanganyika.
Acha upoyoyo....

Tanganyika kimamlaka haipo....ilishajiozea kaburini....

It was an awesome will done by the charismatic leader the late Nyerere to bury it's remnants six- feets down the ground.....

Zanzibar si NCHI ...

SI NCHI.....
 
Yaani huyo dogo ndiyo anayeipelekesha Tanganyika na TAKUKURU wanaufyata kwake. Kweli dogo kiboko ya machogo.View attachment 3184766
Wewe ni mzanzibari ?!!

Nikujuze kidogo....

Wazanzibari wanapenda utani khasa wa kutoka Pemba...kule wanakopika "VITENEI"....ba mkubwa umeamua kututania sisi wa huku bara kuwa ni MACHOGO ?!! ha ha ha

N.B Tanganyika ilizikwa na El Commandante baba wa taifa J.K.Nyerere
 
Marehemu Tanganyika hafufuki ng'o.....

Alishajiozea kaburini huko....kuiua ulikuwa na uamuzi bora kupitiliza kwa mustakabali wa taifa hili bora afrika......

#Nchi Kwanza!
So what the hell is Zanzibar?
Is a district,the answer is NO.
Is it a region, NO.
Is it a province, NO.
A country perhaps?
Frfr, what the hell is it?
 
Back
Top Bottom