Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Akina Jesca, Makongoro wangetajwa kuhusishwa kwenye hii michezo wangekaa kimya?
 
423340439_3735645576761188_911828464069231945_n.jpeg
 
Usifananishe Nyerere na huyo taka taka mtoto wa Magufuli alikuwa anamiliki Nyanza construction. Unajua ni miradi mingapi walipewa na kujenga chini ya kiwango ? Usituletee Umbusu humu.
Nyanza hii ya wahindi tangu enzi za Nyerere au nyingine?
 
Ndio wasomi wa Tanganyika hii.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
lile dili lake na mu7 waliishia wapi?
 
Wewe ni mzanzibari ?!!

Nikujuze kidogo....

Wazanzibari wanapenda utani khasa wa kutoka Pemba...kule wanakopika "VITENEI"....ba mkubwa umeamua kututania sisi wa huku bara kuwa ni MACHOGO ?!! ha ha ha

N.B Tanganyika ilizikwa na El Commandante baba wa taifa J.K.Nyerere
Shehe yote kheri.
 
Mwanangu sana huyu dogo, kwake pesa ndogo ndogo za viwanja, magali na hafla za ughaibuni hazisumbui kabisa. Shahidi Luka.
 
Back
Top Bottom