Hata kama, ndio ayaweke mavitambaa hovyo hovyo hivyo?Ni reflection ya bendera za Nchi wanachama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama, ndio ayaweke mavitambaa hovyo hovyo hivyo?Ni reflection ya bendera za Nchi wanachama
Kwel hapo wengi ni wababe wakivita.Wacha Jumuia ichangamshwe kivita.
Museveni na Kagame wamewapigia Debe ili waingie kwenye Jumuia.Kwel hapo wengi ni wababe wakivita.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Raisi wa Somalia kavunjwa mkono na Wababe labda alikuwa anataka kuuza Bandari.
Dr Magufuli apewe maua yake.He Ngurdoto imerudi!?
hahahhahhahhaKwakweli huyo mpambaji hapana. Hivi hayo mavitambaa ni ya kuweka kwenye mkutano wa wakuu wa nchi kweli. Si angeacha ukuta wazi tuu. Huko Arusha hakuna wapambaji?
Mbona mwamba PK kakaa kama member wa kawaida hapo nyuma ya Ruto.
Na Makamba anatafuta nini humo ndani?
Picha zingekuwa na caption ingenoga zaidiMatukio mbalimbali katika Mkutano wa Ndani Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Ngurdoto Mkoani Arusha, tarehe 24 Novemba, 2023.
View attachment 2823191View attachment 2823192
View attachment 2823193
View attachment 2823194
View attachment 2823195
Anatafuta kuungwa mkonoNa Makamba anatafuta nini humo ndani?
Nilitaka kushangaa.😅Huyo sio PK ni Waziri kutoka Kenya anaitwa Aden Duale.
Hivi nyie nyumbu mtajifunza lini kuheshimu maoni ya watu wengine yanayokinzana na yenu? Sasa hicho ulichoandika hapo 🖕 ni nini?Nonsense
Doohh!! Wamefanana!..Huyo sio PK ni Waziri kutoka Kenya anaitwa Aden Duale.
Kwanini dada angu?Hivi nyie nyumbu mtajifunza lini kuheshimu maoni ya watu wengine yanayokinzana na yenu? Sasa hicho ulichoandika hapo 🖕 ni nini?
Haya yote ni mafisi. Ni kama kuunganisha mabomu. Kila nchi mwanachama ina changamoto luluki ambazo zimetokana na uzembe uliopitiliza wa kuongoza. Halafu eti wanaunganisha uongozi mbovu kwa pamoja! Kagame diktekta na hataki kuachia madaraka. Museveni hivyo hivyo. Samia naye nchi imemshinda na ameikabidhi kwa waarabu. Huyo wa Somalia naye kwake kunawaka moto. Wa Sudan Kusini naye king'ang'anizi mpaka amefikia steji ya mkojo kumtoka hadharani bila kujitambua...Stupid indeed wanakusanyika kujadili wazo gani kama siyo kuharibu pesa za umma iwapo wameshindwa hata kuwaletea WAAFRIKA katiba,sheria,MAJINA ya asili kama vitu halisi vya Kiafrika.?????
Binafsi sijui hata manufaa ya huu umoja/uanachamaIna maana leo hii Somalia ni mwanachama wa jumuia hii? Kama vile namwona raisi wa Somalia