Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
ExactlyMagufuli did this
Tunduru ni lami huu karibu mwaka wa nneIle ya tunduru nahisi na yenyewe itakuwa Lami tu Sahiv maana ilikuwa mbovu sana, magari yanakwama njiani hadi wiki nzima
Dah safi Sana, ile barabara muhimu sana kwasabu ya madini yaleTunduru ni lami huu karibu mwaka wa nne
Nataka kufika Manda kwa wakwe hiyo barabara itasaidia nasikia kutopanda mitumbwi?Ni eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
KaziIendelee
View attachment 2147386
Dah umenikumbusha mbali sana aisee, hizo barabara zilikuwa hazifai,
Mbamba Bay fish 🐠 za kutosha huko
Hilo shimo/ korongo unaliona? pangetakiwa daraja na sijawahi kuona daraja kwenye muinuko/mlimasasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo
Mkandarasi hakuwa na mtaalam kumshauri vema. Wakati huo huo wa Magu, kuna barabara ya kutoka Njombe kwenda ziwa Nyasa, ilifanyiwa short cuts kadhaa na zimeleta maana.Magufuli did this
Wameshindwa hata kujenga daraja hapo,,Sasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo