Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulipotembela ni wapi ndugu Tanzania hii hii au nje ya Tanzania?Tulia wewe, miteremko hatari maana yake Nini. Tuache madereva tufanye yetu hujatembea wewe.
Mama Samia?? Hiyo ilikua ishajengwaNi eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
Kazi Iendelee
View attachment 2147386
Wataalam mnaojua mambo kwenye nyuzi kama hizi mtokee mtuelimishe na sisi huku kwenye vibanda umiza tuchukue point, unaona bila wewe kutokea wakandarasi wa JF walikuwa washatuchota mara shortcut, mara kona kona hakuna hata facts kama hiziCost analysis za daraja yawezekana zimekuwa juu wakaona watumie hizo kona. Kwenye design wanangalia Cost effective, Aesthetics, na comfortability when driving.
Ndiyo maana kwenye kona wanakuwekea mpaka design speed ya pale ili Upite salama huku ukifurahia Mandhari ya pale.
Hawakuwa na akili za kujenga daraja?Sasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo
Ingepigwa daraja tu hapo kwishnei?Sasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo
Ist v/s passo!Konakona nzuri sana kwa kupeana za uso.
Mkandarasi gani huyo? Magufuli angeibomoa-bomoa!Sasa kuzunguka kote huko ili iweje, si kuna shortcut hapo? Haya ndiyo matatizo ya kuwapa kazi wakandarasi wazawa, hawana maajabu bali kulitia taifa hasara tu.
hiyo imeanza kujengwa toka 2014Hii kaijenga huyu Bibi yako????
Acha kumpa sifa za kishamba hajafanya lolote la maana labda kuletw machanjo ambayo yameozea ndani
Nilikuwa nakujulisha tu iyo barabara imejengwa na KikweteNimeshasema kazi ya JPM nawe ungekoment kivyako mkuu
Au mpiga picha alitaka tufananishe na mchoro maarufu wa biology. Naoma kama kushoto na kulia overy zinakaa bila usumbufu.Ni eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
Kazi Iendelee
View attachment 2147386
Yes hata mi nimeshangaa sana watu wanasifia ujinga!Hivi mnasifia nini hapo?
Hiyo barabara hamuoni kuwa ni sehemu hatari sana hizo kona zenye miteremko hatari iliyokaa upande upande ni salama kiasi gani kwanini hiyo barabara isiungane moja kwa moja litumike daraja hapo
Hizi ni akili za kimaskini sana tukae na records ajali zitakazotokea hapo kwa ujinga wa wachache
Nadhani ni Mipango ya Baba...sio MamaNi eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
Kazi Iendelee
View attachment 2147386
Magufuli looted too much public funds. A bridge was supposed to be built as a short cut. But John decided not to, so that he could slash the money intended, instead the road was constructed snaking and going all around for no reason whatsoever despite several alternatives.Magufuli did this
WaaapiiiiExactly