kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
Tunduru kwenda wapi?Ile ya Tunduru nahisi na yenyewe itakuwa Lami tu Sahiv maana ilikuwa mbovu sana, magari yanakwama njiani hadi wiki nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunduru kwenda wapi?Ile ya Tunduru nahisi na yenyewe itakuwa Lami tu Sahiv maana ilikuwa mbovu sana, magari yanakwama njiani hadi wiki nzima
Songea kwenda tunduru ilikuwa haifai kabisaTunduru kwenda wapi?
Sasa hivi iko poa sana, ila tu ina kona nyingi kipande cha Tunduru Namtumbo.Songea kwenda tunduru ilikuwa haifai kabisa
Mijitu haitembei, ipo dar tuNendeni lushoto tanga wala hamtashangaa hio barabara
DAR - Tunduru ni lami tupu, inaunga mpaka SongeaIle ya Tunduru nahisi na yenyewe itakuwa Lami tu Sahiv maana ilikuwa mbovu sana, magari yanakwama njiani hadi wiki nzima
wasisahau kupanda nyasi kwenye kingo za hiyo barabara ,kuzuia mmomonyoko , NYASI ZA VETIVA ndo kiboko Cha mmomonyoko.Ni eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
Kazi Iendelee
View attachment 2147386
Safi sana., hiyo miji ya kusini itachangamka sasa maana ilikuwa imetengwa tangu ukoloniD
DAR - Tunduru ni lami tupu, inaunga mpaka Songea
Kuanzia pale njia panda mombo kupandisha huko juu huko Soni hadi mlalo, inatakiwa kukaza rohoNendeni lushoto tanga wala hamtashangaa hio barabara
Namtumbo itakuwa katika moja za wilaya ya nyuma sana huko, Tunduru na mbinga pamechangamka sanaSasa hivi iko poa sana, ila tu ina kona nyingi kipande cha Tunduru Namtumbo.
Manda unapita Mbamba bay? Wakwe wa michongo hao?N
Nataka kufika Manda kwa wakwe hiyo barabara itasaidia nasikia kutopanda mitumbwi?
Kama sikosei manda ipo mbingaManda unapita Mbamba bay? Wakwe wa michongo hao?
Ni eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
Kazi Iendelee
View attachment 2147386
N
Nataka kufika Manda kwa wakwe hiyo barabara itasaidia nasikia kutopanda mitumbwi?
Shortcut ni gharamaSasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo
Wewe una akili Sana.Niliwaza waweke shortcut ila nikahisi huwenda gharama ya daraja itakuwa kubwa sana kuliko kuongeza njia kama ilivyo.
Na nina yakini kwqmba wamwfanya hivi kuepusha cost na muda pia,tusiwaone wajinga hao watu.
Na hilo bonde hatujui kina chake kwa sababu hiyo ni picha tu
View attachment 2147623
Hiyo barabara wamefuatisha ile ile ya vumbi iliyokuwepo, sio kwamba ni. Mpya kilicho kipya hapo ni hiyo Lami.Niliwaza waweke shortcut ila nikahisi huwenda gharama ya daraja itakuwa kubwa sana kuliko kuongeza njia kama ilivyo.
Na nina yakini kwqmba wamwfanya hivi kuepusha cost na muda pia,tusiwaone wajinga hao watu.
Na hilo bonde hatujui kina chake kwa sababu hiyo ni picha tu
View attachment 2147623
Bila shaka hao walioanzisha ya vumbi waliona athari ya hilo bonde.Hiyo barabara wamefuatisha ile ile ya vumbi iliyokuwepo, sio kwamba ni. Mpya kilicho kipya hapo ni hiyo Lami.
Daah nilipita sana hii njia wakati ni rough road.... Natamani nirudi ikiwa lami kama hvNi eneo la Mitanga
Hakika ni kivutio tosha cha Utalii nchini
Hongera Mama Samia
Kazi Iendelee
View attachment 2147386