Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kama nyokaHizo kona khaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nyokaHizo kona khaa..
BudgetSasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo
Tulia wewe, miteremko hatari maana yake Nini. Tuache madereva tufanye yetu hujatembea wewe.Hivi mnasifia nini hapo?
Hiyo barabara hamuoni kuwa ni sehemu hatari sana hizo kona zenye miteremko hatari iliyokaa upande upande ni salama kiasi gani kwanini hiyo barabara isiungane moja kwa moja litumike daraja hapo
Hizi ni akili za kimaskini sana tukae na records ajali zitakazotokea hapo kwa ujinga wa wachache
Injinia mavi kujua kwingiiiiiNjoo baada ya miaka miwili uone jinsi itakavyokuwa imechakaa!! Wanajenga chini ya viwango kutokana na usimamizi mbovu! Hizi barabara hazina DRAINAGE system hivyo maji ya mvua yanaharibu barabara kirahisi!!
Ajali itatokea Kwa uzembe wako kutotii sheria. Kutakuwa na alama za Kona, speed limit na kuzuia kuovateki. Sasa wewe tembea na 120kph na ovateki kwenye hizo Kona uingie bondeni ulaumu mkandarasi!Hivi mnasifia nini hapo?
Hiyo barabara hamuoni kuwa ni sehemu hatari sana hizo kona zenye miteremko hatari iliyokaa upande upande ni salama kiasi gani kwanini hiyo barabara isiungane moja kwa moja litumike daraja hapo
Hizi ni akili za kimaskini sana tukae na records ajali zitakazotokea hapo kwa ujinga wa wachache
Cost analysis za daraja yawezekana zimekuwa juu wakaona watumie hizo kona. Kwenye design wanangalia Cost effective, Aesthetics, na comfortability when driving.Wameshindwa hata kujenga daraja hapo,,
Ilianza kujengwa toka enzi za JK.Kazi ya JPM
Ilianza kujengwa toka enzi za JK.
Kwa pesa yake ya mfukoni?Magufuli did this
ongeza majibu ya kuchaguaKwa pesa yake ya mfukoni?
Ni noma. Kipindi hicho naenda shule kule liuli ilikuwa ni vumbi tupu. Yaani kutokea Mbinga hadi huko ilikuwa ni noma.Hizo kona khaa..
Mkuu wako sahihi. Hiyo barabara kuna magenge na mabonde km inavyoonekana.Sasa kuzunguka kote huko ili iweje, si kuna shortcut hapo? Haya ndiyo matatizo ya kuwapa kazi wakandarasi wazawa, hawana maajabu bali kulitia taifa hasara tu.
Hahahah mrabahaSasa mbona wamezunguuka wakati kuna short cut tu hapo