Picha: Muonekano wa kuvutia wa Barabara ya Mbinga - Mbamba Bay

Picha: Muonekano wa kuvutia wa Barabara ya Mbinga - Mbamba Bay

Yes hata mi nimeshangaa sana watu wanasifia ujinga!
Hizi kona kona ni hatari kwa vyombo vya usafiri, wamekwepa gharama za kujenga daraja na hizo kona kona wametumia lami badala ya concrite,

kwa mifumo ya magari jinsi ilivyo tairi za nyuma huwa zinajiburuza kwenye kona ( hasa malori)
Hiyo barabara haitachukua muda mrefu kuharibika na ni matumizi mabaya ya fedha za walipakodi.

Mfano mzuri wa kudeal na sehemu zenye kona ni barabara ya arusha to dodom, kama sikosei ilijengwa kwa ufadhili wa IMF. kwenye milima ya kolo pale wamepiga concrete mwanzo mwisho'

ukipita barabara ile utaona jinsi thamani ya pesa ilivyolindwa'

Barabara inayosifiwa hapa itatia hasara kwani itahitaji ukarabati wa mara kwa mara.
hasara ya mali za watu, maisha pamoja na matumizi mabaya ya fedha za umma
Akili ndogo inaangalia kurahisisha mambo tu bila kuangalia madhara yatakayokuja
 
Nilichogundua wengi hii barabara hamjaipita ukipita utaelewa kwanini wamefanya hivyo maana hicho ni kipande kidogo cha design hiyo viko vipande zaidi ya 20 kama hivyo unadhani mhandisi atajenga madaraja mangapi .... madaraja huongeza gharama zaidi katika ujenzi wa madaraja.
 
Duh kumbe mbinga ndo milima namna hiyo...dah..Bora nibaki huku huku tu...japo nasikia huko totoz zipo za kutosha na hazinaga maringo
 
Duh kumbe mbinga ndo milima namna hiyo...dah..Bora nibaki huku huku tu...japo nasikia huko totoz zipo za kutosha na hazinaga maringo
Mbinga kuna milima sana kiasi kwamba kuna kaubaridi mno, toka mbinga mpka mbamba bay ni 66km ila mbinga baridi mbamba bay joto
 
Back
Top Bottom