Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Astakafullilah! Mambo gani tena haya!Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
braza acha kula najisiNimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
Wewe kula tu kwani wakikusema wanaondoka na hayo meno yako ya njano?.Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
@Firdaus9 ndugu zanu wengi wanatumia hii chakula,mm nimeshudia kwa macho yangu mawili rafiki zangu wanatumia fresh tuu na ni swala 5Subhanallah!
muongo kubwa mkubwa dini yako igekuwa inazia ulisha hacha kula uchafu huoNimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].
Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.
Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.
Tuache nongwa jamani.
kula hata mavi yako nani kakuziya kama umekubali kuabudu sanamu na kiume yesu itakuwa nguluweChakula kinachoonewa wivu na wakobazi wakitulazimisha tupende ngamia
Mbona peponi kuna mito ya pombe?... pombe (beer) ni haramu kuliko nguruwe; elewa hilo kwanza.
anajifariji tu lakini pua yake imeinamia chiniWewe ni muongo, nia yako ni kusifia kitimoto na pengine kuudhi baadhi ya waislam.
Hakuna msikiti wowote unaoweza kukutenga sababu ya unachokula unless uende ukalie hapo msikitini, napo pia hutotengwa zaidi ya kufukuzwa kwa wakati huo tu.
Waislam hatuna itikadi ya kuhukumu mtu sababu ya maisha anayoishi na ndio maana hata siku moja hutosikia maiti ya muislam kutoswalia ama kuzikwa sababu marehemu hakuwa akihudhuria msikitini. Hukumu tunamuachia Mungu.
Kuna uwezekano wa kusifiia ukipendacho bila kukarahisha wengine.
Yani mtihani@Firdaus9 ndugu zanu wengi wanatumia hii chakula,mm nimeshudia kwa macho yangu mawili rafiki zangu wanatumia fresh tuu na ni swala 5
Nguruwe na Tigo kipi ni najisi?braza acha kula najisi
angalia pua yako imeangalia wapi kisha ujiulize kwa nn imeelekea chini@Firdaus9 ndugu zanu wengi wanatumia hii chakula,mm nimeshudia kwa macho yangu mawili rafiki zangu wanatumia fresh tuu na ni swala 5
utajuta siku ukifukiwa na tani 10 za mchangaMbona peponi kuna mito ya pombe?
Amekudanganya nani kwamba kila mtu anazikwa ardhini?utajuta siku ukifukiwa na tani 10 za mchanga
full stop.Uzuri zile sehemu wanazouza ukienda hawaulizi wewe ni dini gani! Utakaa zako utakula then utasepa..ni sawa na wale waislamu wanaoingia lodge mwezi wa ramadhani,kule lodge hawaulizi "mbona unakuja huku huu mwezi huuoni?
Ni suala la kiimani zaidi! Wewe kama umeamua kula tu mkuu,lakinj usitamanishe wengine ambao hawali🤣🤔