PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

Wewe ni muongo, nia yako ni kusifia kitimoto na pengine kuudhi baadhi ya waislam.

Hakuna msikiti wowote unaoweza kukutenga sababu ya unachokula unless uende ukalie hapo msikitini, napo pia hutotengwa zaidi ya kufukuzwa kwa wakati huo tu.

Waislam hatuna itikadi ya kuhukumu mtu sababu ya maisha anayoishi na ndio maana hata siku moja hutosikia maiti ya muislam kutoswalia ama kuzikwa sababu marehemu hakuwa akihudhuria msikitini. Hukumu tunamuachia Mungu.

Kuna uwezekano wa kusifiia ukipendacho bila kukarahisha wengine.
 
Mbuzi wa Vatican City ukishamuonja ni sawa na kula nyama ya mtu. Ukishaila utaendelea tu kuila (in Mwl. Nyerere's voice) [emoji39][emoji39][emoji39]

JamiiForums403489060.jpg
 
Uzuri zile sehemu wanazouza ukienda hawaulizi wewe ni dini gani! Utakaa zako utakula then utasepa..ni sawa na wale waislamu wanaoingia lodge mwezi wa ramadhani,kule lodge hawaulizi "mbona unakuja huku huu mwezi huuoni?
Ni suala la kiimani zaidi! Wewe kama umeamua kula tu mkuu,lakinj usitamanishe wengine ambao hawali🤣🤔
 
kitu ambacho watu wengi hawakijui ni kwamba kitimoto ni mnyama aliyetakaswa ni kiumbe kitakatifu, adui wa mashetani na mapepo kwaiyo wew kama ni mfugaji wa yale mavitu ya kipepo lazima umpinge sana nguruwe maana hawapatani.

mashekh wanatuficha tu kuwa kitimoto haipatani na vitu wanavyovifuga ndio maana wanampitia mbali,

kuna muhuni wangu mmoja aliutupia mnofu wa kitimoto ndani ya dirisha la shekh dah kilichotokea mule ndani unaweza ukasema movie ya kuigizwa.
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Astakafullilah! Mambo gani tena haya!
🙄
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

braza acha kula najisi
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

Wewe kula tu kwani wakikusema wanaondoka na hayo meno yako ya njano?.
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

muongo kubwa mkubwa dini yako igekuwa inazia ulisha hacha kula uchafu huo
 
Wewe ni muongo, nia yako ni kusifia kitimoto na pengine kuudhi baadhi ya waislam.

Hakuna msikiti wowote unaoweza kukutenga sababu ya unachokula unless uende ukalie hapo msikitini, napo pia hutotengwa zaidi ya kufukuzwa kwa wakati huo tu.

Waislam hatuna itikadi ya kuhukumu mtu sababu ya maisha anayoishi na ndio maana hata siku moja hutosikia maiti ya muislam kutoswalia ama kuzikwa sababu marehemu hakuwa akihudhuria msikitini. Hukumu tunamuachia Mungu.

Kuna uwezekano wa kusifiia ukipendacho bila kukarahisha wengine.
anajifariji tu lakini pua yake imeinamia chini
 
@Firdaus9 ndugu zanu wengi wanatumia hii chakula,mm nimeshudia kwa macho yangu mawili rafiki zangu wanatumia fresh tuu na ni swala 5
angalia pua yako imeangalia wapi kisha ujiulize kwa nn imeelekea chini
 
Uzuri zile sehemu wanazouza ukienda hawaulizi wewe ni dini gani! Utakaa zako utakula then utasepa..ni sawa na wale waislamu wanaoingia lodge mwezi wa ramadhani,kule lodge hawaulizi "mbona unakuja huku huu mwezi huuoni?
Ni suala la kiimani zaidi! Wewe kama umeamua kula tu mkuu,lakinj usitamanishe wengine ambao hawali🤣🤔
full stop.
 
Back
Top Bottom