Ni show tu hizoHuyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Alishasema anapenda zaidi kuwa mchungaji kuliko kuwa mkuu wa mkoa!Bwashee jamaa yako ndo kama hivyo tena.
Mkuu huyu ndie ameongoza mipango yote michafu ya awamu ya 5..Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Huyo huwa anashida na mungu kwa matendo yake ya kishetani,akiona biblia au kanisa lazima atoe gesi kwa nyuma then analia kama amefiwa na bwana yakeHuyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Yale mambo yake ya kunyime wenzake nafasi ya kuishiHuyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Sisi ukipata "F" tulikuwa tunasema umepata ufunguo wa maishaHuyu Jamaa kwenye Matokeo ya Bible Knowledge alipata "F"........Ndiooo yaani mswaki
Wahindi wamemrushia majini mengi Sio rahisi kutoka salamaKumpiga makofi mzee Warioba halafu ukabaki salama, siyo rahisi.
Kuwapora wahindi fedha zao kwa kuwatishia kuwapa kesi za uhujumu uchumi halafu ukabaki salama, si rahisi.
Kuwa na cheti feki ukapewa madaraka makubwa ukabaki salama, siyo rahisi.
acha mizaha ya kijinga wewe, mtu yuko kwenye ibada anamlilia Mola wake wewe unafanya dhihaka.Huyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
Sio watu wazuri π π πWajumbe wamemtenda vibaya.
π€£π€£π€£π€£ Ila nimeamini hakuna wanafiki Kama wajumbe...Kuna mzee kazimia huku alichotegemea kwa wajumbe kimekuwa tofautiπ€£π€£π€£π€£π€£Sio watu wazuri π π π