Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Akawaleta na watu wake wa IT kabla Kagame hajamchezesha JPM akamdhulumu mabilioni urafiki ukafa
Hata wewe unageuka rafiki yenu🤔. Wahenga wanasema ishi uone mengi 😂.Siamini kwa nikisikiacho kutoka kwako.Au mirija imeminywa unaipigania mipya hapo kwenu hivi sasa🤔
 
Hata wewe unageuka rafiki yenu🤔. Wahenga wanasema ishi uone mengi 😂.Siamini kwa nikisikiacho kutoka kwako.Au mirija imeminywa unaipigania mipya hapo kwenu hivi sasa🤔
Mkuu, umejiunga JF 2018 halafu unasema unanifahamu
 
Mkuu, umejiunga JF 2018 halafu unasema unanifahamu
Hata kama ingekuwepo Jf miaka 200 iliyopita mrengo na mitazamo ya mtu inafahamika hata pale unapoona au wandengereko wanasema hata unapo piga U turn ulishaacha alama za mienendo na mitazamo yako🤔
 
Kufa mara ngapi? Kuna chama hapo? Hawa wamebaki waganga njaa wachache tu wanabaingaza wapate kula. Tanzania kuna vyama vitatu tu. Bara kuna CCM ´na Chadema na visiwani kuna ACT na CCM. Hawa wengine wote kama CUF, NCCR nk wanabaingaiza tu.
Nimeshangaa kuna Chama kinaitwa NLD na mwenzao AdaTadea 😅😅 unaweza kuta kina wanachama mia 2 Tanzania Nzima
 
Pasco ni bendera fuat upepo,mnafiki na ndumilakuwili
 
Viongozi viongozi,vizushi vizushi..acheni uwongo wa kijinga
 
Napata taabu kuamini kwamba hii siyo trick photography.
Hii picha ataonyeshwa Kamala Harris: kiongozi mwanamke anavyopendwa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…