sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
miaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu ana 27 ana kitambi na kipara kimeanza lakini anajiona bado mtoto.mwaka 1973 alikua na miaka 21 lkn
Ndio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nzito za kivita wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamotomiaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu anafika hadi 26 anajiona bado mtoto.
Ulaya na Asia miaka 21 tayari una professional fulani, lawama tuwatupie pia serikali ya CCM.mimi binafsi watoto wangu nitawarukisha madarasa alafu nawapeleka veta na baadae vyuo vya kati kwanzamiaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu anafika hadi 26 anajiona bado mtoto.
Ndio maana Emerson mganangwa alivyokuja alienda tembelea bagamoyo
yule jamaa ndio kaikalisha kinshasa mwaka 1997 kakiwa ka bwana mdogo tu kali assume mamlaka kabla hata Laurent kabila hajafika kinshasa tuna safari ndefu sisi watanzania,primaly miaka 9, sekondari miaka 4, advance 3 na chuo mitatu,huu ni upotevu wa mudaNdio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nziyo za kivira wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamoto
Sure man kumbe unamnyaka vyema huyu mwamba.huwa namkubal sana huyu mtu kuliko ata PKyule jamaa ndio kaikalisha kinshasa mwaka 1997 kakiwa ka bwana mdogo tu kali assume mamlaka kabla hata Laurent kabila hajafika kinshasa
tuna safari ndefu sisi watanzania,primaly miaka 9, sekondari miaka 4, advance 3 na chuo mitatu,huu ni upotevu wa muda
Aaaah izi story za vijiwe vya kahawainasemekana huyu jamaa ni immortal japo mimi siamini ila jamaa wanasema kapigana first word war.
Nampata yule,Kagame mwenyewe anamkubali sana licha ya kwamba kuna kipindi aliona jamaa ni tishio kwa mamlaka yake akaanza kumuwekea nongwa.Sure man kumbe unamnyaka vyema huyu mwamba.huwa namkubal sana huyu mtu kuliko ata PK
Kama Salim Ahmed Salim?miaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu anafika hadi 26 anajiona bado mtoto.