PICHA: Putin aliishi Tanzania 1973 hadi 1977 akiwa kama mkufunzi kwa wapigania uhuru

PICHA: Putin aliishi Tanzania 1973 hadi 1977 akiwa kama mkufunzi kwa wapigania uhuru

Siku hizi kurukusha madarasa ni ngumu mmno
Rahisi sana fanya hivi mtoto aanze grade 1 akifika grade 2 kabla ya term ya pili kuisha mpeleke kayumba darasa la 3 then akiingia la darasa 4 baada ya mtihani mwaka unaofata mrudishe English medium tena grade 6 then atamaliza grade 7 kwa miaka 5 tu alafu mpeleke kenya secondary kule wanapiga 4 yrs only alafu then aende technical college kwa 4 yrs tena.Atakuwa amepiga jumla ya miaka 13 tu shuleni plus ni 3 ya kindergarten jumla 16 yrs kama akianza na miaka 3 akiwa na miaka 19 tayari ana professional yake ata akianza na miaka 5 sio mbaya kwani by 21yrs of age ana professional tyr

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
miaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu ana 27 ana kitambi na kipara kimeanza lakini anajiona bado mtoto.
Hapo"ana miaka 27 ana ndambi ana kipara lakini anajiona bado mtoto.
[emoji23][emoji23]
 
Nimeingia wikipedia nimeona Putin alimaliza chuo 1975, huenda ni maisha ya kijasusi labda chuoni huko ilikuwa ni zuga tu huku anaendelea na majukumu mengine.

Anyway, wenye mawazo mengine mnakaribishwa.

putin-2-1.png
Tanzania ilifuga mtu mjinga sana !
 
Pana swala gumu kidogo, Picha ilikuwa ya 1973 lakini google wameandika Putin alimaliza chuo 1975, huenda ni maisha ya kijasusi labda chuoni ilikuwa ni zuga tu huku anaendelea na majukumu mengine. Anyway, nanyi mnaweza kutoa maoni yenu.

putin-2-1.png
Zakuambiwa changanya na zako.
Putin alizaliwa 07/10/52 hiyo picha hapo sio ya kijana wa miaka 20.
Lakini pia '73 Putin alikua mwaka wa kwanza chuoni akichukua shahada ya Sheria. Alihitimi '75.
Siku nyingine ukiona kitu, usikimbilie kuposti, nenda Google ukacheki facts Kama Zina tally.
Sawa kilaza?
 
Zakuambiwa changanya na zako.
Putin alizaliwa 07/10/52 hiyo picha hapo sio ya kijana wa miaka 20.
Lakini pia '73 Putin alikua mwaka wa kwanza chuoni akichukua shahada ya Sheria. Alihitimi '75.
Siku nyingine ukiona kitu, usikimbilie kuposti, nenda Google ukacheki facts Kama Zina tally.
Sawa kilaza?
Kwani akiwa chuo hawezi kufamya kazi nyingine ?? Jiongeze nawe
 
Ukifanikiwq usiwaone wenzio wazembe.
Huo ni ugonjwa mbaya sana
Ndio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nzito za kivita wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamoto
 
Back
Top Bottom