Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
🤣... mbele ya jaji wa mchongo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣... mbele ya jaji wa mchongo!
Russian leader Vladimir Putin was born in 1952 in St. Petersburg (then known as Leningrad). After graduating from Leningrad State University, Putin began his career in the KGB as an intelligence officer in 1975. Putin rose to the top ranks of the Russian government after joining President Boris Yeltsin’s administration in 1998, becoming prime minister in 1999 before taking over as president. Putin was again appointed Russian prime minister in 2008, and retained his hold on power by earning reelection to the presidency in 2012.Hiyo miaka alikuwa bado chuoni. Halafu alikuwa bado hajaingia jeshini.
Mara nyingi historia hutumiwa Na Masikini Kujipozea/Kupunguza Machungu.Tanzania ina historia aiseh!!Sasa HUU umasikini nani kauleta???!!
Mara Nyingi Historia Utumiwa Na Masikini Kujipozea/Kupunguza Machungu.
Tumejiletea sisi wenyewe kwa sababu ya uzembe, wizi, ubabaishaji, ufisadi, na tukipata watu walio maendeleo oriented tunawapiga vita na kukumbatia waliodumaa kiakili.Tanzania ina historia aiseh!!Sasa HUU umasikini nani kauleta???!!
Best kamtoe gaidi huko jela maana unaropoka tu! Nyie CHADEMA ndo kwenye hali nchi hii? Mara kesi ya mchongo oooo jaji wa mchongo! Ujinga ujinga tu!... mbele ya jaji wa mchongo!
Chama cha MapinduziTanzania ina historia aiseh!!Sasa HUU umasikini nani kauleta???!!
kwanini mkuuSiku hizi kurukusha madarasa ni ngumu mmno
point yangu ni kwamba,wenzetu katika umri mdogo wanakuwa tayari na direction ya maisha kwa mfano huyo bwana niliyemzungumzia alikuwa na cheo jeshini (ajira) akiwa mdogo sana na utaalamu wa kutosha.hiki ndicho tunachozungumzia hasa,mtazame hata putin hapo alikuwa na miaka 20's lakini ana ajira tayariKwahiyo unataka vijana wetu wapindue nchi wakiwa na umri mdogo,unadhani kupindua nchi ni sifa positive?
hoja ya jamaa ni kuwa mfumo wetu wa Elimu na ajira ni mbovu,wala hamchukulii powa mtu ila anajaribu kuongea hali halisi ya maisha yetuNikukumbushe tu hakuna anayependa kuwa tegemezi.
Na Mimi naamini kila mwanadamu Ana mipango yake ya maisha.
Haijalishi amefikia miaka mingapi.
JITIHADA HAZISHINDI KUDRA
nafahamu hilo mkuu,lakini ni kwamba kabila alisaidiwa tu kupewa hifadhi hapa wakati alikimbia Zaire na wala hakuna chanzo chochote cha Historia kinacho suggest ama kuthibitisha kama Tz ilitoa msaada wa kijeshi au kifedha kwa kabilaVipi unajua kwamba kabila alikua anasapotiwa na Tz kwenye hiyo misheni?Usimsifievsana huyo jamaa
jamaa aliteswa sana na walipotaka kumuua akawaomba ganja kwanza,aka smoke kidogo ndio akauliwaMbona Che Guevara ambaye naweza sema ndiye mwana mapinduzi kuliko mwana damu yeyote karne ya 20, aliondoka akiwa mchanga sana
Nasikia kaacha mtoto pale bagamoyoPana swala gumu kidogo, Picha ilikuwa ya 1973 lakini google wameandika Putin alimaliza chuo 1975, huenda ni maisha ya kijasusi labda chuoni ilikuwa ni zuga tu huku anaendelea na majukumu mengine. Anyway, nanyi mnaweza kutoa maoni yenu.
![]()