PICHA: Rais Samia na Peter S Greenberg wakiandaa Royal tour lakini hakuna 'social distancing'

😲😲😲
Huo uhafidhina wala hautusumbui....

#KaziInaendelea


Hata kuvaa ushungi kwa muheshimiwa sio uhafidhina??!! 🤣---- au wewe unadhani ule ushungi kwake ni secular wear??!!.
 
Corona ya TZ ni ya kutafuta fedha ya mzungu,ndiyo maana mtu akifa na Asthma, any critical condition inayihitaji oxygen hubatiziwa Corona.
Na watu maarufu kutangaza ndugu zao kufa na Corona inaonekana ni ujanja hata Kama kafa na pressure.
 
Halafu imani ya Kiislamu hairuhusu mwanamke kushikana mikono na mwanaume.
 
Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608

Tuseme huko "porini" hakuna corona na walipima afya zao kabla na wakati wa kuchukua filamu. Ila swali ni je, maadili ya kule Zenji kwake yanamruhusu pozi la hivyo na mwanaume asiye mumewe? Mwanamke Mzenji hata kama mnafahamiana mkikutana hakupi mkono wa salamu iwapo wewe mwanaume sio kutoka familia yake
 
Watu wengine mnajifunzaga upumbavu au mnaokotaga wapi. Unadhani kila usie kubaliana na mawazo yake ni Chadema??? Jifunze kuvumilia mawzo ya wenzako, sio kila mtu lazima ataje unachokitaka wewe.
 
Tuseme huko "porini" hakuna corona na walipima afya zao kabla na wakati wa kuchukua filamu. Ila swali ni je, Dini yake inamruhusu pozi la hivyo na mwanaume asiye mumewe?
Ukileta mambo ya dini kwenye mambo ya kiserikali utashindwa kufanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…