mwl. mziray
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 598
- 404
mimi ni makini n abest ktk kuangalia hiden details ktk picture na hapa ni mequote ili ukija punguza iwe too late picture zako tuu zinaonyesha kukata tamaa kwako.magufuli na ccm kwa ujumla.
Ila nimegundua wapinzani kwa sasa hatuna hofu ya ushindi uchaguzi huu bali tuna hamu tu ya uongozi mpya baada ya uchaguzi. Mwaka huu tutashinda hata wakiiba vipi
umeshasema wafuasi wa ccm sasa wewe ulitalajia wafuasi wa ccm wampokee slaa? Na hao wanaccm wapo myaka yote na sasa hivi wanapungua kwa kasi wengine wanakufa wengine wanahama, huku vijana wanaofikisha miaka 18 wote wanaibukia chadema, je! Mwaka huu mtapona?
boda boda wamepewa bei gani mkuu?