Msaga_sumu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2022
- 289
- 291
😂 napoteza muda sasa au unadhani mfyatua tofali huyo kama ww anaweza omba gari ila la kazi sio gari binafsi au mpaka umuone kwenye vibaruaLissu anatafutia wapi pesa wakati unaona anaomba hadi hela ya kununua gari? Embu sema ni shughuli gani ya kumuingizia kipato cha kila siku anayoifanya Lissu kwa sasa?
Siwezi kuumia kwa hoja za kishoga kama hii ya kujadili mavazi ya mwanaume mwenzako, wewe lazima una vimelea vya ushoga siku si nyingi utaolewa kabisa, nimekaa pale.Ukweli unauma najua unaumia kimoyo moyo.
Huyu ni wa kuchomwa moto tu mashoga hawakubaliki kwenye kafaraWewe ni wakutolewa kafara Huna faida kwa JAMHURI.
Wewe ni wa jinsia ya kiume? Bandiko kaandika dada yako au wewe mwenyewe? Mbona una tabia za kingese sana. Mwanaume unakaa na kuandika gazeti la mwanaume mwenzako anachovaa?Ndugu zangu Watanzania,
Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.
Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .
Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .
Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.
Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .
Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.
Angalia hapa👎View attachment 3252722
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anamuiga Dkt MagufuliNdugu zangu Watanzania,
Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.
Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .
Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .
Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.
Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .
Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.
Angalia hapa👎View attachment 3252722
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wasomi na kuvaa wapi na wapi,kuvaa waachie wasaka mademuKwani yeye hana akili ya kujua aina ya nguo ya kumtosha akivaa?
Kuchangisha pesa chamani shida iko wapi chama cha baba ake kile au aliahidi atatoa pesa za kuendesha chama,,ni mifumo yake chama kiweze pata pesa kuendesha mambo yake,, ni vile tu akili yako inawaza vitu rahisi ikiwa pamoja na kuiba pesa za wananchiMaendeleo yanaanzia kichwani ya namna mtu unavyo fikiri na kuwaza. Sasa kama mtu anashindwa hata kuwaza namna ya uvaaji wake.ni vipi atakuwa na mawazo ya maendeleo? Ndio maana mnaona ameanza kuwachangisha pesa chamani
CCM imeleta maendeleo ya kila ainaKwahiyo CCM mmeshindwa kuleta maendeleo sababu hamvai vizuri? hovyo kabisa
Kwani awali chama kilikuwa kinajiendesha vipiKuchangisha pesa chamani shida iko wapi chama cha baba ake kile au aliahidi atatoa pesa za kuendesha chama,,ni mifumo yake chama kiweze pata pesa kuendesha mambo yake,, ni vile tu akili yako inawaza vitu rahisi ikiwa pamoja na kuiba pesa za wananchi
Hayati Hakuwa akivaa hivyo.Anamuiga Dkt Magufuli
Mshaurini kiongozi wenuSimple minds discuss people! Naona uko katika kundi hilo.
Nadhani hiyo ni ant Lissu fever inayokutesa!
Huyu bwege hiki anaita hoja?Jikite katika hoja na siyo taarabu
Endelea kutafuta ujumbe wa nyumba kumiKwani awali chama kilikuwa kinajiendesha vipi
Enzi zile za kuvaa makoti oversizeHayati Hakuwa akivaa hivyo.
Wala usilete hasira zako hapa. Maana siyo mimi niliye mshonea Lissu hayo makotiWewe ni wa jinsia ya kiume? Bandiko kaandika dada yako au wewe mwenyewe? Mbona una tabia za kingese sana. Mwanaume unakaa na kuandika gazeti la mwanaume mwenzako anachovaa?
magu kapiga oversize hadi akiwa ikuluLakini picha ya Magufuli ni ya miaka ya 1995.
Hoja ya Lucas bado ina mashiko.
Mavazi ya mwaka 2025 hayatakiwi kuwa sawa na Yale ya 1995 kurudi nyuma!.
Yapo sehemu gani?CCM imeleta maendeleo ya kila aina