PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

Lissu anatafutia wapi pesa wakati unaona anaomba hadi hela ya kununua gari? Embu sema ni shughuli gani ya kumuingizia kipato cha kila siku anayoifanya Lissu kwa sasa?
😂 napoteza muda sasa au unadhani mfyatua tofali huyo kama ww anaweza omba gari ila la kazi sio gari binafsi au mpaka umuone kwenye vibarua
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.

Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .

Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .

Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.

Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .

Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.

Angalia hapa👎View attachment 3252722

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ni wa jinsia ya kiume? Bandiko kaandika dada yako au wewe mwenyewe? Mbona una tabia za kingese sana. Mwanaume unakaa na kuandika gazeti la mwanaume mwenzako anachovaa?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.

Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .

Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .

Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.

Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .

Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.

Angalia hapa👎View attachment 3252722

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anamuiga Dkt Magufuli
 
Maendeleo yanaanzia kichwani ya namna mtu unavyo fikiri na kuwaza. Sasa kama mtu anashindwa hata kuwaza namna ya uvaaji wake.ni vipi atakuwa na mawazo ya maendeleo? Ndio maana mnaona ameanza kuwachangisha pesa chamani
Kuchangisha pesa chamani shida iko wapi chama cha baba ake kile au aliahidi atatoa pesa za kuendesha chama,,ni mifumo yake chama kiweze pata pesa kuendesha mambo yake,, ni vile tu akili yako inawaza vitu rahisi ikiwa pamoja na kuiba pesa za wananchi
 
Kuchangisha pesa chamani shida iko wapi chama cha baba ake kile au aliahidi atatoa pesa za kuendesha chama,,ni mifumo yake chama kiweze pata pesa kuendesha mambo yake,, ni vile tu akili yako inawaza vitu rahisi ikiwa pamoja na kuiba pesa za wananchi
Kwani awali chama kilikuwa kinajiendesha vipi
 
Simple minds discuss people! Naona uko katika kundi hilo.
Nadhani hiyo ni ant Lissu fever inayokutesa!
 
Wewe ni wa jinsia ya kiume? Bandiko kaandika dada yako au wewe mwenyewe? Mbona una tabia za kingese sana. Mwanaume unakaa na kuandika gazeti la mwanaume mwenzako anachovaa?
Wala usilete hasira zako hapa. Maana siyo mimi niliye mshonea Lissu hayo makoti
 
Lakini picha ya Magufuli ni ya miaka ya 1995.
Hoja ya Lucas bado ina mashiko.
Mavazi ya mwaka 2025 hayatakiwi kuwa sawa na Yale ya 1995 kurudi nyuma!.
magu kapiga oversize hadi akiwa ikulu
magu kapiga oversize hadi kanzu

utetezi wako hauna maana
 
Back
Top Bottom