peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwa mantiki hiyo Jimbo la misungwi hakuna uchaguzi mkuu wa madiwani na mbunge? Kama ndivyo tunaelekea kusikojulikana .Mbona camera haionyeshi upande mwingine? Mbona imewaficha wahudhuriaji? Au hawakuwepo?
Watu waliosaidia kwene Kampeni za Magufuli 2015 ni Mhe. Kinana na Mhe. Nnape Nauye. Hawa ndo waliosaidia sana Jiwe kuingia Ikulu.Mkapa angesaidiaje?
Muulize mwenye bloguMbona camera haionyeshi upande mwingine? Mbona imewaficha wahudhuriaji? Au hawakuwepo?
Wadau wanataka picha!
Kuona ndio kuamini
Mbona Magufuli aliwambia AKASHIA waweke headquarter mwaza, kwahio alikosea?.Imagine Lissu angekua Rais tangu 2015 aisee sijui tungekua wapi hii nchi. Mashirika na makampuni makubwa duniani lazima yangekuja kuweka Headquarters hapa kama ilivyo Nigeria aisee.
Imagine Lissu angekua Rais tangu 2015 aisee sijui tungekua wapi hii nchi. Mashirika na makampuni makubwa duniani lazima yangekuja kuweka Headquarters hapa kama ilivyo Nigeria aisee.
Sio hii! Hii ni ya juzi
Kinachotakiwa ni mikataba Bora na Wazi ya Win-Win situation. HQ hata ikiwa The Heque au Dodoma is immaterial...!Mbona Magufuli aliwambia AKASHIA waweke headquarter mwaza, kwahio alikosea?.
Sio hii! Hii ni ya juzi
Hakuna lijitu jinga kama Lissu! atapigana hata kama hakuchaguliwa??Mkutano: Maelfu ya watu Wilayani Misungwi wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu
Nitaweka link ili mumfuatilie live akiwa Misungwi muda huu.
Wakuu najaribu kuweka link inagoma ila mkutano upo live ndani ya Dar mpya online tv
Lissu anasema hivi
1. Wagombea wote wa Chadema ngazi ya udiwani na Ubunge Misungwi walienguliwa kihuni na tume baada ya jaribio la kuwateka kushindikana.
2. Tume wanatulazimisha tupigane na tutapigana kwa ajili ya haki, nasema tutapigana.
3. Najua kuwa tutashinda kwa kishindo uchaguzi huu, ole wao tume watuibie ushindi wetu nasema Ole wao!
4. Tundu Lissu: Tukiingia ikulu tutaweka katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itafutilia mbali hii tume ya uchaguzi iliyopo.
Lissu anaonyesha kukerwa na wagombea kuenguliwa na anasema tume inawalazimisha wapigane na wapo tayari!
Bado anaendelea, fuatilia live ndani ya Dar mpya
Acha upumba! Kinachooongelewa hapa ni habari za leo sio za juziUnataka kuniambia Tundu Lissu wa juzi siyo wa leo? Acha ubabaishaji na propaganda za kisanii!!!
Acha upumba! Kinachooongelewa hapa ni habari za leo sio za juzi
Wewe kweli hewaWe ndo pumba na pimbi Perce.
Tunazungumzia Mgombea wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu
Wewe kweli hewa
Wewe unatoka chama chamagufuli?Mtu Kama huyu ndo utegeme atapiga kura Kama hata link Ni yakusubiria
Mkutano: Maelfu ya watu Wilayani Misungwi wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu
Nitaweka link ili mumfuatilie live akiwa Misungwi muda huu.
Wakuu najaribu kuweka link inagoma ila mkutano upo live ndani ya Dar mpya online tv
Lissu anasema hivi
1. Wagombea wote wa Chadema ngazi ya udiwani na Ubunge Misungwi walienguliwa kihuni na tume baada ya jaribio la kuwateka kushindikana.
2. Tume wanatulazimisha tupigane na tutapigana kwa ajili ya haki, nasema tutapigana.
3. Najua kuwa tutashinda kwa kishindo uchaguzi huu, ole wao tume watuibie ushindi wetu nasema Ole wao!
4. Tundu Lissu: Tukiingia ikulu tutaweka katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itafutilia mbali hii tume ya uchaguzi iliyopo.
Lissu anaonyesha kukerwa na wagombea kuenguliwa na anasema tume inawalazimisha wapigane na wapo tayari!
Bado anaendelea, fuatilia live ndani ya Dar mpya