Uchaguzi 2020 PICHA: Tundu Lissu Misungwi, maelfu ya watu wakishuhudia mkutano wake

Uchaguzi 2020 PICHA: Tundu Lissu Misungwi, maelfu ya watu wakishuhudia mkutano wake

Misungwi wamekataa kutumika. Sasa najua unahaha kutafuta picha za bukoba uweke hapa. Mi nimeona live na link iko youtube.

Lissu ameshachelewa kuupata urais wa nchi hii, amebakiza uongo tu.
 
Mkapa angesaidiaje?
Watu waliosaidia kwene Kampeni za Magufuli 2015 ni Mhe. Kinana na Mhe. Nnape Nauye. Hawa ndo waliosaidia sana Jiwe kuingia Ikulu.
Leo hii wote 2 Magufuli kawatupa nje baada ya kutofautiana naye kimawazo....!!!
 
Imagine Lissu angekua Rais tangu 2015 aisee sijui tungekua wapi hii nchi. Mashirika na makampuni makubwa duniani lazima yangekuja kuweka Headquarters hapa kama ilivyo Nigeria aisee.
 
Imagine Lissu angekua Rais tangu 2015 aisee sijui tungekua wapi hii nchi. Mashirika na makampuni makubwa duniani lazima yangekuja kuweka Headquarters hapa kama ilivyo Nigeria aisee.
Mbona Magufuli aliwambia AKASHIA waweke headquarter mwaza, kwahio alikosea?.
 
Imagine Lissu angekua Rais tangu 2015 aisee sijui tungekua wapi hii nchi. Mashirika na makampuni makubwa duniani lazima yangekuja kuweka Headquarters hapa kama ilivyo Nigeria aisee.

Linganisha Uchumi wa Tanzania na Nigeria. Nchi gani iko vizuri kiuchumi?
Ukipata jibu hilo rudi Tena!
 
Mkutano: Maelfu ya watu Wilayani Misungwi wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu

Nitaweka link ili mumfuatilie live akiwa Misungwi muda huu.

Wakuu najaribu kuweka link inagoma ila mkutano upo live ndani ya Dar mpya online tv

Lissu anasema hivi
1. Wagombea wote wa Chadema ngazi ya udiwani na Ubunge Misungwi walienguliwa kihuni na tume baada ya jaribio la kuwateka kushindikana.
2. Tume wanatulazimisha tupigane na tutapigana kwa ajili ya haki, nasema tutapigana.

3. Najua kuwa tutashinda kwa kishindo uchaguzi huu, ole wao tume watuibie ushindi wetu nasema Ole wao!

4. Tundu Lissu: Tukiingia ikulu tutaweka katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itafutilia mbali hii tume ya uchaguzi iliyopo.

Lissu anaonyesha kukerwa na wagombea kuenguliwa na anasema tume inawalazimisha wapigane na wapo tayari!
Bado anaendelea, fuatilia live ndani ya Dar mpya
Hakuna lijitu jinga kama Lissu! atapigana hata kama hakuchaguliwa??
 
Ndio maana huwa najiuliza hawa wanaojiita wapinzani ni nini hasa wanachokipinga? maana ukiwaangalia hawaamini wanayoyatetea na kuyapigia kelele.

Juzi tu hapa walikuwa wakimlaumu na kupiga sana kelele kuhusu msimamo wa serikali juu ya corona ila kwakuwa zile kelele hazikuwa katika vitu ambao wao walikuwa wakiamini hivyo na ndio maana haohao sasa hivi wanasifia nyomi za watu kwenye kampeni hawajari tena kama dunia itatutenga wala kujari tena vifo vya kimyakimya.
 
Mkutano: Maelfu ya watu Wilayani Misungwi wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Tundu Lissu

Nitaweka link ili mumfuatilie live akiwa Misungwi muda huu.

Wakuu najaribu kuweka link inagoma ila mkutano upo live ndani ya Dar mpya online tv

Lissu anasema hivi
1. Wagombea wote wa Chadema ngazi ya udiwani na Ubunge Misungwi walienguliwa kihuni na tume baada ya jaribio la kuwateka kushindikana.
2. Tume wanatulazimisha tupigane na tutapigana kwa ajili ya haki, nasema tutapigana.

3. Najua kuwa tutashinda kwa kishindo uchaguzi huu, ole wao tume watuibie ushindi wetu nasema Ole wao!

4. Tundu Lissu: Tukiingia ikulu tutaweka katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itafutilia mbali hii tume ya uchaguzi iliyopo.

Lissu anaonyesha kukerwa na wagombea kuenguliwa na anasema tume inawalazimisha wapigane na wapo tayari!
Bado anaendelea, fuatilia live ndani ya Dar mpya
 
Back
Top Bottom