Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

waaala sikuja kishari, labda wewe ndio unipokee kishari, jf ni pahala la kupashana habari, habari zenyewe zaweza kuwa ngumu au nyepesi kuzielewa itatokana na uwezo wako wa kuzichambua
Hhhmhahahahhahaha ,mecheka sana ulivojibu kwa upole!
 

It's too late to justify!
Alokwambia mi nafanya kazi ya kutawaza majimama kama wewe nani? Kama uliona kuna kitu cha kuchamba ungefanya hivyo kwa nafasi yako na si kunialika na ofcoz si lazima nifanya yale unayoyafikiria wewe, alokwambia mi nafanya kazi ya kushika kinyesi nani?? Mxiiiiiiiiuuuuuuuuuuuu

Chamba wewe kwa vile ndo sifa yako!
 
Avemaria my dear sijakuattack personally wala sijawahi kumuattack mtu personally, so dont mass up. what i meant here ni team kiba kumtukanaga diamond ni malaya like every now and then, so i come up with this, kama mmekuwa mkimuita diamond malaya based on no ya wanawake aliotembea nao, this means kiba nae ni malaya??? if no what his excuse? sasa sijui umenitokea wapi mwenzangu. alafu shoga angalia wenzio walionielewa wamenijibu kwa hoja, and this is how we live here in jf, sasa wewe kuleta mambo ya voda fasta hahahahaa! dont expect to irritate me anymore my dear for that.
 
Last edited by a moderator:

haaaaa!!!? are you trying kuwaambia watu kuwa nimekuita malaya??? quote me were plzzzz!!! bahati nzuri conversation zote zipo humu alieona nilipomuita huyu dada malaya tell me plzzzz!! so kumbe ndio sababu ya povu lote hilo??? show me then.
 
Last edited by a moderator:
Wivu mwingine wa ajabu sana, hivi si nyinyi kila siku mnatembea na waume za watu? Ndio utakataa kuolewa wakati cheo cha kufanywa nyumba ndogo umeridhika nacho?

huyu anabanduliwa na kondoo wa mganga kuboost uzaz wengne wanamsema ambaye kazaa et hana fyucha we unazan pumzi ingeuzwa angekufa mtu na ange pia zingesikilizwa we unazan dunia ingenoga anaezaa shart apongezwe muulize dadangu unyago wa mawifi na kima upi ulimnogea watoto utajir we pele anavyosifiwa we unazan mamake si anajuta kutoa mimba au ndo kete ya kwanza ya draft inatabir supa.jpange mo tech
 

Kwahio umeamuwa kuanza kwa vitendo hizo swaga za kike ili tusikushangae?
 
Last edited by a moderator:
waaala sikuja kishari, labda wewe ndio unipokee kishari, jf ni pahala la kupashana habari, habari zenyewe zaweza kuwa ngumu au nyepesi kuzielewa itatokana na uwezo wako wa kuzichambua

Gabbage in gabbage out!
Ulivyokuwa unajichetua hapa eti tumefyata mkia hatutathubutu kuleta pua zetu humu ulitegemea tukupongeze sio???

Eti ooooo wanamuita mondi malaya kumbe kuna vimalaya mpaka huku na identity zao, haya mkuje sasa mny...oko n....yo.kko, pumbavuuuuuuu!!!!! Alafu eti unajitia hukuja kishari wewe! Khaaaa
 

oukey!! i got your point my, kumbeeee una serious bifu na mimi??? so it was like ngoja siku aingie kwenye angazangu?? nilishawahi tofautiana na wewe popote au ni kwa vile tu nimekutaja on my first comment??? nimekuita tu kishabiki my dear, kama team kiba kwa wale wachache ninaowajua, na hata ikitokea tunaingia into harsh conversations na mtu sikuwahi iweka personal, muulize nifah tumekuwa tukibishana sana but hatukuwahi go bad like serious, we take it as funny na kila mmoja anapita vile, mbona Matola kaja na tunabishana kidogo akapita zake, this is kind if people i meant ninapowaza socialization, ngoja nikuambie kitu mpenzi sijawahi chukulia vitu hapa jf such serious, just as you did. sorry anyway for tag up your name on bad mood.
 
Last edited by a moderator:

Mv mwenye busara akikosea anaomba samahani, au uliona raha wewe kuombwa samahani siku ile?

Neno samahani na asante sana sijui ni kwa ni gumu kwa binadamu wengi? Hili gazeti ulilojaza hapa linazidiwa maana nguvu kwa neno KUMRADHI.
 
Last edited by a moderator:
wewe ndio unasema hivyo watu wanaangalia mpunga ata uwe na watoto 100 hawajali,wewe ata kama hauna mtoto kama mifuko imetoboka wazuri utaishia kuwaita shemeji tu

Sasa Ali kiba ana hela gani ya mwanamke ku risk maisha yake kiasi hicho.
 
Mv mwenye busara akikosea anaomba samahani, au uliona raha wewe kuombwa samahani siku ile?

Neno samahani na asante sana sijui ni kwa ni gumu kwa binadamu wengi? Hili gazeti ulilojaza hapa linazidiwa maana nguvu kwa neno KUMRADHI.
Matola nioneshe nilipomtukana huyo dada tuu, fasta tena kwa herufi kubwa nitamuomba msamaha.
 
Last edited by a moderator:
haaaaa!!!? are you trying kuwaambia watu kuwa nimekuita malaya??? quote me were plzzzz!!! bahati nzuri conversation zote zipo humu alieona nilipomuita huyu dada malaya tell me plzzzz!! so kumbe ndio sababu ya povu lote hilo??? show me then.

Sio lazima uite malaya directly au umsonteshee mtu, na sio lazima uadmit coz unajua mwenyewe ulichomaanisha hata kama ungekuwa umeniita malaya mara mia nane sijali. Just to remind you unapenda sana kuchokoza wenzio ila mambo yakiharibika ndo unarudi kujifanya mstaarabu. Try me better!
 

Why all this energy PAULA ,!!!
Achana na hao NGUCHIRO..!!
 
Last edited by a moderator:
Matola nioneshe nilipomtukana huyo dada tuu, fasta tena kwa herufi kubwa nitamuomba msamaha.

au mwambie yeye aoneshe nilipomtukana, mimi nilikuja na general hoja hapa kuwa diamond amekuwa anatukanwa sana na team kiba kuwa ni malaya, then nikawataja baadhi ya team kiba ninaowajua ni vinara nikawaambia will you come here kuongelea umalaya wa kiba au mwajua kuuongelea ule wa daimond tu??? go to my first comment matola.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…