Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Sasa ndio nimeamini kuwa Ali kiba yupo kushindani na Dimond. Mwanzo nilikuwa namuona kama hana time na hii bifu.

Siku zote alikuwa wapi kutoonyesha picha za watoto wake? Yani kasubiri Dimond kuongelea swala la wanawake wake kutoa ujauzito na watu waanze kuongela kuwa dimond huenda hana uwezo wa kizalisha ndio na Yeye kaweka picha za Watoto wake!! This is absurd
 
Kiba bonge l mwanaume anajali sana ndio mana ana familia,mwenzake anatembea n masuperstar njaa washike mimba wafe njaa,wataenda viwanja mda gani au kula vichwa mda gani wakti wa kulea.kiba kweli n king

Japo hatuombei ila ndo hivyo tena hatujui nani atatangulia inakuwa mbaya eti umeacha historia ya kuchimba migodi kila sehemu bila kutoka na dhahabu kisa! Furaha yako kuona tundu tu. Ujinga
 
Sasa ndio nimeamini kuwa Ali kiba yupo kushindani na Dimond. Mwanzo nilikuwa namuona kama hana time na hii bifu.

Siku zote alikuwa wapi kutoonyesha picha za watoto wake? Yani kasubiri Dimond kuongelea swala la wanawake wake kutoa ujauzito na watu waanze kuongela kuwa dimond huenda hana uwezo wa kizalisha ndio na Yeye kaweka picha za Watoto wake!! This is absurd

Duuuh hili nalo kwako umeona ni tatizo!?? Yaani mtu kaweka picha za watoto wake tena kwenye ukurasa wake binafsi wa facebook hilo nalo ni tatizo kwako?? sasa ingekuwaje kama angeenda kuweka kwenye ukurasa wa Diamond?? Kuna baadhi ya mambo yanakuza bifu kati ya hawa wasanii yanasababishwa na mashabiki kama nyie.
 
Sasa ndio nimeamini kuwa Ali kiba yupo kushindani na Dimond. Mwanzo nilikuwa namuona kama hana time na hii bifu.

Siku zote alikuwa wapi kutoonyesha picha za watoto wake? Yani kasubiri Dimond kuongelea swala la wanawake wake kutoa ujauzito na watu waanze kuongela kuwa dimond huenda hana uwezo wa kizalisha ndio na Yeye kaweka picha za Watoto wake!! This is absurd

Akuanza kuweka ao watoto alianz na mama, mdogo wake na kumshukuru mungu kwa ujumla ilikua n cku ya mkesha wa mwaka mpya
 
Japo hatuombei ila ndo hivyo tena hatujui nani atatangulia inakuwa mbaya eti umeacha historia ya kuchimba migodi kila sehemu bila kutoka na dhahabu kisa! Furaha yako kuona tundu tu. Ujinga

Kuna wa2 wana matatizo hivi kuzaa au kupata mtoto b4 ndoa ni dhambi,kuna wengne wamepata cku y kwanza 2 kupigwa mechi ila wanadam wanahukumu vibaya mimi nna mtoto nilimpa mimba kibinti flan nkiwa n 21yrz,yote ni baraka z mungu istoshe hata nkiwa n 7kids wanawake w kuoa wpo kibao ilimradi 2 uwe na uwezo n msmbo safi.

Amini watakuja hata mia kutaka ndoa tena hawaulizi hata kma unawatoto.chukulia mtu ana hiv ila tajiri atatembea n vidada vizuri hku vinajua jamaa mgonjwa.asikwambie mtu njaa n umasikini ni ugonjwa hatari
 
there is were misundestanding come, nimesema kutwa kuchwa kumuita diamond malaya kumbe kuna malaya wenye mpaka identity, hii ilikuwa inaenda diamond kwa kiba, sasa inakuwawaje unataka ionekane its diamond to you??? anyway MY APOLOGY NEVER MEANT TO COME THIS FAR.

Kiswanglish kazini.
 
there is were misundestanding come, nimesema kutwa kuchwa kumuita diamond malaya kumbe kuna malaya wenye mpaka identity, hii ilikuwa inaenda diamond kwa kiba, sasa inakuwawaje unataka ionekane its diamond to you??? anyway MY APOLOGY NEVER MEANT TO COME THIS FAR.

Kuna malaya wenye mpaka Identity HUKU....wapi?
Hivi kwa kiba tunatumia mwenye au wenye?

Bad enough you made the statement (s) in support of your fellow who initiated the word.
 
Kuna malaya wenye mpaka Identity HUKU....wapi?
Hivi kwa kiba tunatumia mwenye au wenye?

Bad enough you made the statement (s) in support of your fellow who initiated the word.

matumizi ya neno wenye na mwenye ndio limeleta mkanganyiko?? na HUKU umelichukulia huko team kiba?? au huku JF?? au huku kwenye THREAD? my focus was on kiba lakini umeamua kuunganisha comment ya niliyemjibu ukachanganya na yangu ukapata maana tofauti.
 
Ndio maana.., kumbe hao vimayala vyake vipo hapa.. Ukimgusa tu vinaporomosha matusi.

Aibu yao.

At this very young age ametupa mbegu ka panya. Hasara kwa taifa..
Avemaria una apply maana ya hii comment to mine, simply nilimquote na comment yenye malaya wenye identity, so if i meant to insult team kiba which identity applied to you???
 
Last edited by a moderator:
matumizi ya neno wenye na mwenye ndio limeleta mkanganyiko?? na HUKU umelichukulia huko team kiba?? au huku JF?? au huku kwenye THREAD? my focus was on kiba lakini umeamua kuunganisha comment ya niliyemjibu ukachanganya na yangu ukapata maana tofauti.

Avemaria una apply maana ya hii comment to mine, simply nilimquote na comment yenye malaya wenye identity, so if i meant to insult team kiba which identity applied to you???

Too late!
Usiniulize maswali now sina muda wa kuyajibu maana naona unazunguka tu.

After all unaniletea giza tu but endelea kutafakari jibu utalipata.
 
Last edited by a moderator:
Paula kilaki sikua online ndo naingia naona ulipania kweli mrs:diamond
nawaona na wapambe pembeni wasio na haya,wasiojua vibaya wana watoka pabaya hao wanaosema vimalaya vyake vipo hapa
niwaulize nyie mnaochangia hapa km nyie wote hamjazaa baba tofauti,kwenu hamjazaliwa tofauti?au ktk familia zenu hawapo...!!!
ukute hao washadadiaji kwao matumbo sita wametoka au una watoto wanne kila mmoja na mzasi wake
 
Last edited by a moderator:
Huyu naye ni mashine! Wasanii wetu wanawaza ngoma na STIs kweli?
Hongera!
 
sijawaita malaya team kiba, stop turning this to your side i said kiba kuwa malaya as to compare to diamond, hii ya nimewaita team kiba malaya inatoka wapi???
data ndo kaita ila sishangai malezi ndo yanachangia kua hvyo simlaumu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom