Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Mashaallah watoto wanalelewa kwenye maadili safi kutoka kwa King wetu.
then jamani ana watoto wazuri huyu kaka daah?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashaallah watoto wanalelewa kwenye maadili safi kutoka kwa King wetu.
punguza maneno bidada we huchelewi kuita wenzio wazaramo ukiona umebanwa sa sijui yote yanayokutoka haya umeanza mahusiano na uzaramoni au vp shogangu...???just asking...!!Avemaria una apply maana ya hii comment to mine, simply nilimquote na comment yenye malaya wenye identity, so if i meant to insult team kiba which identity applied to you???
Duuuh hili nalo kwako umeona ni tatizo!?? Yaani mtu kaweka picha za watoto wake tena kwenye ukurasa wake binafsi wa facebook hilo nalo ni tatizo kwako?? sasa ingekuwaje kama angeenda kuweka kwenye ukurasa wa Diamond?? Kuna baadhi ya mambo yanakuza bifu kati ya hawa wasanii yanasababishwa na mashabiki kama nyie.
geniveros karibu wangu japo umechelewa but hope umeona conversations this is how i expected arguments to looks like, but some one decided to bay the thread and take it too personalPaula kilaki sikua online ndo naingia naona ulipania kweli mrs:diamond
nawaona na wapambe pembeni wasio na haya,wasiojua vibaya wana watoka pabaya hao wanaosema vimalaya vyake vipo hapa
niwaulize nyie mnaochangia hapa km nyie wote hamjazaa baba tofauti,kwenu hamjazaliwa tofauti?au ktk familia zenu hawapo...!!!
ukute hao washadadiaji kwao matumbo sita wametoka au una watoto wanne kila mmoja na mzasi wake
teh teh....!! G9t all.,, its been a great day.
Sindano za mootooo... Ukiskia 'nywiii', dawa imeingia
geniveros karibu wangu japo umechelewa but hope umeona conversations this is how i expected arguments to looks like, but some one decided to bay the thread and take it too personal
data ndo kaita ila sishangai malezi ndo yanachangia kua hvyo simlaumu
sasa hiyo comment ya data imeunganishwa na yangu niliyomjibu data and conclusion drown kwamba paula kawaita team kiba malaya ndipo hali ya hewa ilipo chafukia
sasa hiyo comment ya data imeunganishwa na yangu niliyomjibu data and conclusion drown kwamba paula kawaita team kiba malaya ndipo hali ya hewa ilipo chafukia
Hujanielewa mkuu Hao watoto wanaonekana wakubwa, kama nia yake ni njema Alikuwa Wapi siku zote hizo kuwaweka? Kwani kaanza leo kujua umuhimu wa watoto wake? Mwaka jana ali hojiwa kwenye mkasi akasema alikuwa kimya kimziki sababu ya kuwa busy na kulea watoto,kwanini hakuwaweka kipindi kile alipoanza kuwa busy na malezi?
Are u serious..!! Duuudde..!!!??
Wewe ni kiboko kuliko kiboko mwenyewe, yani Kiba aishi kama unavyotaka wewe?
Bob hii nchi haitawaliwi kijeshi ni free Country since 1961. Kafie Uyole.
Ila Diamond akiishi anavyotaka watu wanahorojokaa!!!...
hamchelewi kuita watu wazaramo hapa lakini...!!!
maana sie wengine tukiongea tunaitwa wazaramo enhee vp leo mbona notisi nyingi km tamthilia ya "hiba ya wivu"
hahahahahaaaaaaa embu acha kunichekesha.
geniveros ni kweli leo nimewachokoza team kiba and ofcoz haka kautamaduni ka team kiba versus diamond huwa kipo, unless uniambie kilishapitwa na wa wakati mi ndio nipo outdated, but unfortunately things went wrong lakini sikumaanisha yatokee yaliyotokea, could be misunderstanding au mtu kaamua purposefully to take it that way, lakini nimekuelewa wangu, haitatokea tena.nimekuelewa ila paula unapenda sana kurushiana maneno ujue