Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Avemaria una apply maana ya hii comment to mine, simply nilimquote na comment yenye malaya wenye identity, so if i meant to insult team kiba which identity applied to you???
punguza maneno bidada we huchelewi kuita wenzio wazaramo ukiona umebanwa sa sijui yote yanayokutoka haya umeanza mahusiano na uzaramoni au vp shogangu...???just asking...!!
 
Last edited by a moderator:
Duuuh hili nalo kwako umeona ni tatizo!?? Yaani mtu kaweka picha za watoto wake tena kwenye ukurasa wake binafsi wa facebook hilo nalo ni tatizo kwako?? sasa ingekuwaje kama angeenda kuweka kwenye ukurasa wa Diamond?? Kuna baadhi ya mambo yanakuza bifu kati ya hawa wasanii yanasababishwa na mashabiki kama nyie.

Hujanielewa mkuu Hao watoto wanaonekana wakubwa, kama nia yake ni njema Alikuwa Wapi siku zote hizo kuwaweka? Kwani kaanza leo kujua umuhimu wa watoto wake? Mwaka jana ali hojiwa kwenye mkasi akasema alikuwa kimya kimziki sababu ya kuwa busy na kulea watoto,kwanini hakuwaweka kipindi kile alipoanza kuwa busy na malezi?
 
Paula kilaki sikua online ndo naingia naona ulipania kweli mrs:diamond
nawaona na wapambe pembeni wasio na haya,wasiojua vibaya wana watoka pabaya hao wanaosema vimalaya vyake vipo hapa
niwaulize nyie mnaochangia hapa km nyie wote hamjazaa baba tofauti,kwenu hamjazaliwa tofauti?au ktk familia zenu hawapo...!!!
ukute hao washadadiaji kwao matumbo sita wametoka au una watoto wanne kila mmoja na mzasi wake
geniveros karibu wangu japo umechelewa but hope umeona conversations this is how i expected arguments to looks like, but some one decided to bay the thread and take it too personal
 
Last edited by a moderator:
geniveros karibu wangu japo umechelewa but hope umeona conversations this is how i expected arguments to looks like, but some one decided to bay the thread and take it too personal

hamchelewi kuita watu wazaramo hapa lakini...!!!
maana sie wengine tukiongea tunaitwa wazaramo enhee vp leo mbona notisi nyingi km tamthilia ya "hiba ya wivu"
 
Last edited by a moderator:
data ndo kaita ila sishangai malezi ndo yanachangia kua hvyo simlaumu

sasa hiyo comment ya data imeunganishwa na yangu niliyomjibu data and conclusion drown kwamba paula kawaita team kiba malaya ndipo hali ya hewa ilipo chafukia
 
Last edited by a moderator:
sasa hiyo comment ya data imeunganishwa na yangu niliyomjibu data and conclusion drown kwamba paula kawaita team kiba malaya ndipo hali ya hewa ilipo chafukia

nimekuelewa ila paula unapenda sana kurushiana maneno ujue
 
Hujanielewa mkuu Hao watoto wanaonekana wakubwa, kama nia yake ni njema Alikuwa Wapi siku zote hizo kuwaweka? Kwani kaanza leo kujua umuhimu wa watoto wake? Mwaka jana ali hojiwa kwenye mkasi akasema alikuwa kimya kimziki sababu ya kuwa busy na kulea watoto,kwanini hakuwaweka kipindi kile alipoanza kuwa busy na malezi?

Wewe ni kiboko kuliko kiboko mwenyewe, yani Kiba aishi kama unavyotaka wewe?

Bob hii nchi haitawaliwi kijeshi ni free Country since 1961. Kafie Uyole.

Cc: Kiranga pita hapa uone akili za Mitanzania.
 
Last edited by a moderator:
Are u serious..!! Duuudde..!!!??

Wengi wetu tunaojadili humu tunatakiwa kuwa na uelewa wa madhara ya tunachoandika au kusema katk muktadha mbalimbali (Critical discourse analysis)
 
Hatariiiiiiiii maskini bwanaake Zarina hana kizazi ataishia kuzunguka tu kwenye mbunye za warembo bila matokeo chanya dada zake wote Esma na Queen Darleen wote wanaite mama yeye ataishia kuitwa uncleeeee
 
hamchelewi kuita watu wazaramo hapa lakini...!!!
maana sie wengine tukiongea tunaitwa wazaramo enhee vp leo mbona notisi nyingi km tamthilia ya "hiba ya wivu"

hahahahahaaaaaaa embu acha kunichekesha.
 
nimekuelewa ila paula unapenda sana kurushiana maneno ujue
geniveros ni kweli leo nimewachokoza team kiba and ofcoz haka kautamaduni ka team kiba versus diamond huwa kipo, unless uniambie kilishapitwa na wa wakati mi ndio nipo outdated, but unfortunately things went wrong lakini sikumaanisha yatokee yaliyotokea, could be misunderstanding au mtu kaamua purposefully to take it that way, lakini nimekuelewa wangu, haitatokea tena.
 
Last edited by a moderator:
wanatusaidia nini sisi bwana,leteni vitu vya kutukomboa watanzania!!
 
Back
Top Bottom