Diamond nae anao watatu wale wakufikia kwa Zari the boss lady. So ngoma droo.
Mashaallah watoto wanalelewa kwenye maadili safi kutoka kwa King wetu.
Kiba bonge l mwanaume anajali sana ndio mana ana familia,mwenzake anatembea n masuperstar njaa washike mimba wafe njaa,wataenda viwanja mda gani au kula vichwa mda gani wakti wa kulea.kiba kweli n king
Sasa ndio nimeamini kuwa Ali kiba yupo kushindani na Dimond. Mwanzo nilikuwa namuona kama hana time na hii bifu.
Siku zote alikuwa wapi kutoonyesha picha za watoto wake? Yani kasubiri Dimond kuongelea swala la wanawake wake kutoa ujauzito na watu waanze kuongela kuwa dimond huenda hana uwezo wa kizalisha ndio na Yeye kaweka picha za Watoto wake!! This is absurd
Sasa ndio nimeamini kuwa Ali kiba yupo kushindani na Dimond. Mwanzo nilikuwa namuona kama hana time na hii bifu.
Siku zote alikuwa wapi kutoonyesha picha za watoto wake? Yani kasubiri Dimond kuongelea swala la wanawake wake kutoa ujauzito na watu waanze kuongela kuwa dimond huenda hana uwezo wa kizalisha ndio na Yeye kaweka picha za Watoto wake!! This is absurd
Japo hatuombei ila ndo hivyo tena hatujui nani atatangulia inakuwa mbaya eti umeacha historia ya kuchimba migodi kila sehemu bila kutoka na dhahabu kisa! Furaha yako kuona tundu tu. Ujinga
there is were misundestanding come, nimesema kutwa kuchwa kumuita diamond malaya kumbe kuna malaya wenye mpaka identity, hii ilikuwa inaenda diamond kwa kiba, sasa inakuwawaje unataka ionekane its diamond to you??? anyway MY APOLOGY NEVER MEANT TO COME THIS FAR.
Sasa Ali kiba ana hela gani ya mwanamke ku risk maisha yake kiasi hicho.
there is were misundestanding come, nimesema kutwa kuchwa kumuita diamond malaya kumbe kuna malaya wenye mpaka identity, hii ilikuwa inaenda diamond kwa kiba, sasa inakuwawaje unataka ionekane its diamond to you??? anyway MY APOLOGY NEVER MEANT TO COME THIS FAR.
Kuna malaya wenye mpaka Identity HUKU....wapi?
Hivi kwa kiba tunatumia mwenye au wenye?
Bad enough you made the statement (s) in support of your fellow who initiated the word.
Avemaria una apply maana ya hii comment to mine, simply nilimquote na comment yenye malaya wenye identity, so if i meant to insult team kiba which identity applied to you???Ndio maana.., kumbe hao vimayala vyake vipo hapa.. Ukimgusa tu vinaporomosha matusi.
Aibu yao.
At this very young age ametupa mbegu ka panya. Hasara kwa taifa..
matumizi ya neno wenye na mwenye ndio limeleta mkanganyiko?? na HUKU umelichukulia huko team kiba?? au huku JF?? au huku kwenye THREAD? my focus was on kiba lakini umeamua kuunganisha comment ya niliyemjibu ukachanganya na yangu ukapata maana tofauti.
Avemaria una apply maana ya hii comment to mine, simply nilimquote na comment yenye malaya wenye identity, so if i meant to insult team kiba which identity applied to you???
wacha weee hahaaaaaa
nakuona kifurugobe unavyorukaruka
etiii eeeh haloooowwwww4. Mkuki kwa Nguruwe .....,
data ndo kaita ila sishangai malezi ndo yanachangia kua hvyo simlaumusijawaita malaya team kiba, stop turning this to your side i said kiba kuwa malaya as to compare to diamond, hii ya nimewaita team kiba malaya inatoka wapi???