Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Uzazi wa mpango kwani kazaa na mwanamke mmoja ?
Acha kiba asambaze ukoo wake
Au ungelizika kuona na yy anaishia kuchunwa chunwa kama X baba ubaya?

et watoto wa mwenzako mtu anaita kitambulisho cha umalaya jumlisha ngeli mtiti ya kujtetea aenekane kasoma kweli mbio bila kuaga nyonga mwisho wake ksanga raha ya ugumba muulze dadangu anaijua mana mali si kitu mpaka anamtaman muuza mandaz wa ktaan kwetu mana akizima mateja wanambaka ye kila siku anazaa
 
"KUMBE KUNA MPAKA MALAYA WENYE IDENTITY HUKU, HAYA WAKUJE SASA WACHONGE MIDOMO YAO"

Wengine kiswahili tulijifunzia China sio? Halafu hapo ulikuwa unamsupport aliyeinitiate hilo neno, "Umeona eeeh" tena ukaitikia kwa mikogo yote.
Quotation yote ni wa wa wa mpaka mwisho alafu unakwepesha eti Kiba mwenye identity ya watoto 3.....I reject to buy that kind of cr.a.p aiseee!!

Btw; msamaha for what? Tumalize kama tulivyoanza!

there is were misundestanding come, nimesema kutwa kuchwa kumuita diamond malaya kumbe kuna malaya wenye mpaka identity, hii ilikuwa inaenda diamond kwa kiba, sasa inakuwawaje unataka ionekane its diamond to you??? anyway MY APOLOGY NEVER MEANT TO COME THIS FAR.
 
et watoto wa mwenzako mtu anaita kitambulisho cha umalaya jumlisha ngeli mtiti ya kujtetea aenekane kasoma kweli mbio bila kuaga nyonga mwisho wake ksanga raha ya ugumba muulze dadangu anaijua mana mali si kitu mpaka anamtaman muuza mandaz wa ktaan kwetu mana akizima mateja wanambaka ye kila siku anazaa

Nenooo
 

Attachments

  • 1421069731567.jpg
    1421069731567.jpg
    32.8 KB · Views: 193
unapaswa kupata mtoto pale tuu unapokuwa tayari, u know the meaning of wasafi??? ni mtu makini, anaejielewa, asiyeloweka kwani anajali afya yake na ya mwezi wake, anayejua anayejua athari za kutawanya mbegu kama shamba la ulezi, kwani anajua haki za watoto ni kulelewa katika misingi bora inayosimamiwa na baba na mama. sasa daah!! am very very disapointed na huyu king wenu kwa kweli. hivi mliokuwa karibu nae analea yupi sasa kati ya hao???
Hivi kwanza anathubutu vipi kujiita king??? king gani anagawa dudu kama pipi kijiti, eti kioo cha jamii. what a big shame??

King Mswati. 😛
 
unapaswa kupata mtoto pale tuu unapokuwa tayari, u know the meaning of wasafi??? ni mtu makini, anaejielewa, asiyeloweka kwani anajali afya yake na ya mwezi wake, anayejua anayejua athari za kutawanya mbegu kama shamba la ulezi, kwani anajua haki za watoto ni kulelewa katika misingi bora inayosimamiwa na baba na mama. sasa daah!! am very very disapointed na huyu king wenu kwa kweli. hivi mliokuwa karibu nae analea yupi sasa kati ya hao???
Hivi kwanza anathubutu vipi kujiita king??? king gani anagawa dudu kama pipi kijiti, eti kioo cha jamii. what a big shame??

We mdada umeishia memkwa kwani ulijui balaa la kings ? Wanaoa na wanazaa kwa wingi mfano mswati
 
watoto wa mswati wanaishi kwenye palase, in one place like mji, thats the real meanin of king sasa huyu wenu katapanya kama anasia mpunga

Yaani ww kweli bure ao watoto wote wanaishi na kiba mmoja tu alichukuliwa na mama ake kwa ajil ya likizo
 
Kuna watu wana roho ngumu sana humu kama malaika wa kuzimu.

Hao ndio wanashindwa kumuelewa Mwigulu Nchemba kawa good citizen for our National interest.

Anayetaka kuishi kwa roho za chuki na visasi hiyo ni juu yake lakini binadamu kija mwaka unapoingia ni jukumu lako kujitasmini na kuamuwa ujishape vipi.
 
Hongera sana Kiba,mwanamme haui watoto,analea watoto,its your life!!Create em army!!

Kula like 100 wengine watoto wao wameabort mana wanaogopa majukumu.mwanaume hata ukiwa n watoto 10 na hela zipo mbna unawakamata 2 mana wenye stress z kuolewa wapo mamia
 
kama diamond ni mal@ya ali kiba pia ni mala.ya wanachotofautiana ni kuwa diamond anatoka na watu wanaojulikana while ali kiba anatoka na wenzie wa kariakoo

So ao aliozaa nao una uwakika wanatoka kariakoo?
 
#BobMarley wa enzi zetu. Safi sana kijana angalau tofauti na celebrities wengine kama mwenzangu Kanumba hakuwa hata na wakusingiziwa

Kiba bonge l mwanaume anajali sana ndio mana ana familia,mwenzake anatembea n masuperstar njaa washike mimba wafe njaa,wataenda viwanja mda gani au kula vichwa mda gani wakti wa kulea.kiba kweli n king
 
Back
Top Bottom