Picha: Viongozi wa CCM wanahuruma sana kwa wananchi wasiojiweza; hutembelea masikini na kuwatia moyo

Hapa anaonekana Mbunge wa Chalinze na waziri mdogo wa ardhi akiwatia moyo wananchi wake. CCM wapo vizuri.
[emoji116]View attachment 2522929
Hapo inaonyesha ni kwa jinsi gani CCM imefanikiwa kuwaingiza wananchi walio wengi, hasa waishio vijijini, katika "vicious cycle of poverty" na hatimaye kuwa ni mtaji wao wa uhakika wa kizazi kisichojielewa na pia kisichokuwa na uwezo wowote wa kuelewa na hata pia wakuweza kuhoji kuhusu haki zao katika mambo yanayowahusu ya kijamii na kiuchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…